Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Bongo tumezoea longolongo. Ah mwenzangu maisha bora kwa kila mtanzania mjomba ati. Madaraja ya juu kwa juu ilikuwa kauli mbiu ya Kikwete kwenye kampeni uchaguzi Mkuu uliopita. Kwa sasa imebaki kauli mbiu ya Magufuli isiyotekelezeka bali kauli za kuwazika na kufikirika.
Watani wa jadi ambao ni majirani zetu Kenya ndio watekelezaji wa kauli mbiu za fikra za kuwazika Tanzania na kutekelezeka maisha bora kwa kila Mkenya.
Picha kwa hisani ya Michuzi blog
Watani wa jadi ambao ni majirani zetu Kenya ndio watekelezaji wa kauli mbiu za fikra za kuwazika Tanzania na kutekelezeka maisha bora kwa kila Mkenya.
Picha kwa hisani ya Michuzi blog