Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
umenena , mfano mzuri we fikiria tu mkoa wa pwani kama kuna maendeleo, watu wanaishia tu kukaa vibarazani, hawana wanachofanya na kufikilia zaidi ya kuhudhuria ngoma na sherehe za kila wiki.
Na sisi tukome kiherehere na CHAGUO LA MUNGU