vimon
Senior Member
- Apr 3, 2008
- 183
- 195
Kuwa na flyover si kipimo cha maendeleo, fungukeni kidogo. Kwa kuwa Paris haina majumba marefu kama Dubai haina maana haijaendelea.
comment zako mtu akizisoma zitaiakichefuchefu kumbe ndio ulivyo
Kuwa na flyover si kipimo cha maendeleo, fungukeni kidogo. Kwa kuwa Paris haina majumba marefu kama Dubai haina maana haijaendelea.
Wakenya wamejengewa na waChina hii kitu. Wakenya wenyewe wasingeweza kusimami huu mradi bila kula pesa yote
Hata aje malaika kutawala hatutafikia walipo Kenya ambao wao walishakuwa mbele yetu kwa muda mrefu sana tu! Sisi tukiwa mbele ya Uganda lakini leo hii Uganda juu ya matatizo waliyonayo (ya kutokuwa kisiwa cha amani) especial kaskazini wa uganda wanatupita na kutuacha kiuchumi!
Tatizo letu kubwa sana sisi ni wababaishaji vitabu vitakatifu vimesema Mungu atatupa Viongozi tunaofanana nao. Viongozi kwa maana nyingine wana reflect wananchi wao. Tunawapo wasakama viongozi ifike muda turudi kwenye maandiko tuona Mungu amesema nini. Nadhani sisi ndio wenye matatizo makubwa sana na mabadiliko inabidi yaanze kwetu sisi wananchi.
Wakenya kama wananchi ni watu wenye kujituma na wasiobweteka, wana sifa ya kujisomea na kujiendeleza kusoma tofauti na sisi kusoma na kujisomea nio utamaduni tunaoupenda na ndio maana vijana wetu wanaona wakifeli wataendelea na sanaa ya kuimba bongo fleva! Sisi ni wavivu tuliojaaliwa ardhi yenye rutuba lakini wakenya wenye ardhi ndogo wanalima na ku export maua, mboga mbonga na miraa kwenye nje! Ukisikia mtu ana shamba analima mahindi kule shamba basi ujue ni shamba kweli!
Tuache kulalama tupige kazi tumia muda wako wa lunch kupost comments jf piga kazi ili mwisho wasiku viongozi wajisute kuwa wananchi wao ni wachapa kazi na wao inawabidi wachape kazi!
Umenikumbusha kitu, kupitisha bakuli huku na huko ndiyo mtindo wa uswahilini kutembelea watu maarufu na kupiga huu mwingi kuwalainisha kisha anaondoka na kibaba cha kupitishia siku kwa mswahili inatosha mradi maisha yanakwenda.
Mawazo ya kizamani haya , kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba mtu akikutangulia basi wewe unachotakiwa ni kubweteka tu?!!:A S 13: , haya ni mawazo ya mtu aliyekata tamaa, kwamba yeye ndio basi tena hawezi kufanya lolote. chukulia mfano mdogo tu wa Marathon, mshindani wako akikutangulia utakaa chini na kuahirisha mbio au utajitahidi kwa bidii zako zote ili umshinde. kuna Nchi nyingi tu duniani ambazo zilikuwa maskini , lakini ukizitazama kwa sasa ziko mstari wa mbele.
Wakenya kama wananchi ni watu wenye kujituma na wasiobweteka
Tuache kulalama tupige kazi tumia muda wako wa lunch kupost comments jf piga kazi ili mwisho wasiku viongozi wajisute kuwa wananchi wao ni wachapa kazi na wao inawabidi wachape kazi!
Kuwa na flyover si kipimo cha maendeleo, fungukeni kidogo. Kwa kuwa Paris haina majumba marefu kama Dubai haina maana haijaendelea.
Mafunzo makubwa ni haya yafuatayo:
1) Akili ni rasilimali kubwa inayoshinda rasilimali zote, kushinda madini, mbuga za wanyama, misitu, samaki, ardhi ya kilimo, uwingi wa watu.
2) Uongozi mzuri ni ule wa matendo siyo hadithi na ngonjera
3) Kama kipimo cha uongozi ni kufanya vitu vionekanavyo basi Tanzania hatujabahatika bado
4) Upole wa Watanzania huenda ni ishara ya ujinga kuliko kuwa ni ustaarabu
Unataka kusema kuwa tanzania tumeendelea kuliko kenya? Au unamaanisha nini?
Mi nafikir wakenya wametuacha mbali hizo barabara ni kiashiria kimojawapo.
Mkuu niliwahi kusikia kuwa Kenya ndo wanasifika duniani kwa uuzaji wa Tanzanite! Sisi ni mabomu na kiongozi wetu ni bomu. Nahisi jamaa ana kichwa cha dafu! Natamani watu wa pwani tuwapige BAN kwenye kiti cha urais kwa miaka kama 20 hivi.
wakenya wamejengewa na wachina hii kitu. Wakenya wenyewe wasingeweza kusimami huu mradi bila kula pesa yote
Kuwa na flyover si kipimo cha maendeleo, fungukeni kidogo. Kwa kuwa Paris haina majumba marefu kama Dubai haina maana haijaendelea.
Atauza machungwa hata miaka 50 kihalali kabisa, lakini hawezi leo kuja kushona viatu, kesho ana grocery, keshokutwa bar. Ukichunguza utakuta katika mali ya huyo asiye wa pwani 99% ni haramu tupu.
Nani asiyejuwa hilo?
Tangu lini mswahili alipenda maendeleo. Mtu wa pwani anaweza kufanya biashara ya machungwa kwa miaka hata ishirini. Anachohitaji yeye ni faida itakayomwezesha kupata kibaba cha unga na mboga bila kusahau senti kidogo ya kununua kahawa kijiweni wakati wa kucheza bao. Rais wetu ni mtu wa pwani kwa hiyo sishangai kabisa.
Mnafikiri kujenga fly over ni sawa na kujenga ukuta wa nyumba? Kwa miundo mbinu yetu na ujenzi holela hizo ngumu sana kujenga maana fly over haitakiwi ipite juu ya nyumba za watu, na inatakiwa inyanyuke kwa slope ndogo kuanzia mbali. Mtakubali kuhama mlipwe fidia? Au mtaanza maandamano ? Kipawa tu kupanua airport pale ilikuwa kasheshe watu kuondoka.
Zinakuja bongo pia
bado mchakato na upembuzi yakinifu unaendelea