Mpaka kuwa Mwanaume kamili basi ujuwe Masharti na vigezo vimezingatiwa na siyo kama yule Boss kupandisha watu vyeo kazini anataka sambusa!!Hapana baki nae, hamu isha nitoka. sipendi wanaume wa kuomba ruhusa. hua hawajuagi kuflirt.
Kamnyima Boss kazini, halafu na huku anataka kunivurugia ili aniachie manyoya, hapa nimeamuwa za mbayuwayu nichanganye na zangu.Ahhhh naona kashaleta mapozz...eti hajafurahia ulivyoomba ruhusa ya mwanamke kamili.
eRRy acha maringo.
Mpaka kuwa Mwanaume kamili basi ujuwe Masharti na vigezo vimezingatiwa na siyo kama yule Boss kupandisha watu vyeo kazini anataka sambusa!!
Kamnyima Boss kazini, halafu na huku anataka kunivurugia ili aniachie manyoya, hapa nimeamuwa za mbayuwayu nichanganye na zangu.
Miss Erotica, nahitaji Miss Independent.Uwanaume kamili unatumia vigezo gani? sababu katika vigezo vya mwanaume kamili kwa post
zako za page moja tu hii umefeli! nani alikupa hicho cheti? isije ikawa alikua na nia sawa
kama alio nayo boss. Kanipandisha cheo sio kwa vigezo ila tu nimpe. tafakari chukua hatua.
Miss Erotica, nahitaji Miss Independent.
So that's means you meet my requirements!!......acha visingizio mimi ni miss independent.
Fixed Point, ungesoma post zangu za kufata ungeona nilivosema: this applies to me and my man. I don't think it is proper for him to flirt, just as he says he doesn't think it is proper for me to flirt with other persons. AshaDii (ambae ni mtu wangu wa karibu na nakubali maoni yake) kasema yeye haoni ubaya. So I insist on saying that kila couple inatakiwa ku-define mtazamo wa flirting na mipaka yake.
I flirt for fun..I don't flirt for love..Holla
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Nimefuatilia kwa makini sana hii thread na kugundua kitu muhimu sana....HUMU NDANI NYIE WOTE WAROHO π
Si bora humu hatujuani...watu wana flirt facebook na real ID na ni wake/waume za watu. Utasikia 'you look sexy'...'you look hot'.
Ama wana wenza wapole.