Flat Screen: Muongozo kabla hujaenda kununua TV


Here are some of the things you will have to look for when choosing a screen...

Contrast: Bright whites shouldn't have any signs of green, pink blue in them, while blacks should look solid and not washed out, grey, green or blue.

Colours: Look at how bright and solid they are; how noiseless their edges are; how 'dotty' richly saturated areas are and how natural skin looks, especially in dim scenes.

Fine detail: How much texture does the screen give? Does a tree look like a green lump, or can you see the individual leaves

Edges: Check for ghosting, bright halos and jaggedness, especially around curves.

Motion: Check moving objects and quick camera pans for smearing or blurring, trailing, jerkiness and fizzing dotty noise.

Image artefacts: Look for blockiness, colour bands, grain, smearing, dot crawl: anything that looks like it's added by the TV picture processing or a weak TV tuner. Tinker with a TV's picture settings before making a final decision. Factory settings are rarely good for everyday viewing.
 
Baada ya kutaabika na TV la chogo takribani miaka 10 mfululizo nimeamua kubadilisha nami nihamie kwenye udigitali kama wenzangu. Nimepanga ninunue TV ya inch 32 ila sijajua ninunue aina ipi nzuri kwa sababu Sina uzoefu na uelewa wa TV hizi za kisasa , nimejaribu kufanya window shopping hizi ndo nimezishortlist Samsung,LG na Sony.

Naamini hapa kwenye jukwaa kuna wataalamu wa kila aina na hii tasnia najua wapo wa kutosha hasa kwenye resolution na other technical issues. Hivyo basi naomba kujuzwa ipi TV nzuri ili ninunue kitu chenye ubora .

Asanteni sana

Pia angalia wanakupa warrant ya muda gani. Samsung wanatoa hadi miaka miwili kumaanisha wana uhakika na bidhaa yao!
 
Baada ya kutaabika na TV la chogo takribani miaka 10 mfululizo nimeamua kubadilisha nami nihamie kwenye udigitali kama wenzangu. Nimepanga ninunue TV ya inch 32 ila sijajua ninunue aina ipi nzuri kwa sababu Sina uzoefu na uelewa wa TV hizi za kisasa , nimejaribu kufanya window shopping hizi ndo nimezishortlist Samsung,LG na Sony.

Naamini hapa kwenye jukwaa kuna wataalamu wa kila aina na hii tasnia najua wapo wa kutosha hasa kwenye resolution na other technical issues. Hivyo basi naomba kujuzwa ipi TV nzuri ili ninunue kitu chenye ubora .

Asanteni sana

Mi nadhani SAMSUNG ipo vizuri kwani hutaboreka kwenye multimedia kwasababu haichagui file, FLV, MP4 AVI inakamua kwa mbele. ila kuwa makini hapo kkoo kuna magumashi mengine.
 
Nunua curved LG ni nzuri sana ima ultra HD ukipata 55" is very good ingawa utalipia pesa ndefu kidogo ka 6m hivi but it pays
 
Nunua curved LG ni nzuri sana ima ultra HD ukipata 55" is very good ingawa utalipia pesa ndefu kidogo ka 6m hivi but it pays

Mkuu, beginner huyo mwache aanze na 32" LED 1080p full HD. Hizo 55" UHD na ndugu zake 4K baadae sana!
 
Hata mimi nasubiri hapa,yangu nikiangalia ina visehemu viwili vya HDMI ila sijui vinatumikaje.

Unajua unapounganisha tv yako na ama deki au king'amuzi unatumia ule waya wenue vichwa vitatu rangi za njano, nyekundu na nyeupe? Na kama unaunganisha tv na computer unatumia waya wa vga wenye 'meno"? Basi vile vichwa vitatu kimoja hubeba picha na kingine hubeba sauti. Katika ulimwengu huu wa kisasa huhitaji kuchomeka hvo vichwa vitatu bali kichwa kimoja tu cha wire wa HDMI kinabeba mawimbi yote ya picha na sauti na katika ubora zaidi. Kwa kifupi tu HDMI cable ni mbadala wa zile wire tatu zenye rangi za njano, nyekundu na nyeupe.
 
Unajua unapounganisha tv yako na ama deki au king'amuzi unatumia ule waya wenue vichwa vitatu rangi za njano, nyekundu na nyeupe? Na kama unaunganisha tv na computer unatumia waya wa vga wenye 'meno"? Basi vile vichwa vitatu kimoja hubeba picha na kingine hubeba sauti. Katika ulimwengu huu wa kisasa huhitaji kuchomeka hvo vichwa vitatu bali kichwa kimoja tu cha wire wa HDMI kinabeba mawimbi yote ya picha na sauti na katika ubora zaidi. Kwa kifupi tu HDMI cable ni mbadala wa zile wire tatu zenye rangi za njano, nyekundu na nyeupe.


mkuu hasante sana kwa darasa maridhawa kabisa...nme gain idea mpya nzuri sana.
 
Kwnye Tv na dvd Sony ndio nzuri ndio maana bei zao zako juu ila hakisha ni original yaani Sony ndio namba 1 pia ni imara sana.
 
Samahani naomba kuelimishwa, hiyo HDMI inafanyaje kazi?

Hata mimi nasubiri hapa,yangu nikiangalia ina visehemu viwili vya HDMI ila sijui vinatumikaje.

Kwenye TV set za kisasa zina sehemu mbili za kuchomeka waya za picha na sauti kutoka kwenye deki/king'amuzi chako,kuna matundu ya waya za AV,yaani zile waya tatu,njano,nyekundu nya nyeupe zilizo pamoja hivyo kuna vitundu vitatu vya kuzichomeka toka kwenye king'amuzi chako ili uone picha nk.

Pia kuna sehemu ya kuchomeka waya mmoja tu wa HDMI (High Definition Multimedia Interface) yaani uangavu wa hali ya sana,picha inaonekana katika ubora wa hali ya juu sana. Hivyo kama unatumia TV set yenye HDMI port unanunua huo waya lakini lazima king'amuzi/deki chako pia kiwe na HDMI port ili uweze kuona picha katika ubora wa hali ya juu.

Mfano king'amuzi cha azamu ni HD(high definition),pia DSTV viko vya HD,ukiona king'amuzi kinaitwa HD ujue kina sehemu ya kuweka waya wa HDMI. Mfano kama unaangalia mpira kwenye king'amuzi cha DSTV kuna chanel zimeandikwa HD mfano super sport 3,2,5 nk,huwezi kuangalia HD chanels kama TV set yako sio HD.

King'amuzi kinaweza kua ni HD ila sio lazima chanel zilizomo ziwe HD, mfano Azam ni HD lakini hakuna hata chanel moja mule ni HD.

Nadhani umepata mwangaza.
 
King'amuzi kinaweza kua ni HD ila sio lazima chanel zilizomo ziwe HD, mfano Azam ni HD lakini hakuna hata chanel moja mule ni HD.
Channels za Azam zile Internationals zina Quality Nzuri sana Kama Fine Living na Pia Azam Two,One Quality ya Picha ni Nzuri Sana,Je zikirushwa na Mitambo ya HD si itakuwa balaaa?
 
Baada ya kutaabika na TV la chogo takribani miaka 10 mfululizo nimeamua kubadilisha nami nihamie kwenye udigitali kama wenzangu. Nimepanga ninunue TV ya inch 32 ila sijajua ninunue aina ipi nzuri kwa sababu Sina uzoefu na uelewa wa TV hizi za kisasa , nimejaribu kufanya window shopping hizi ndo nimezishortlist Samsung,LG na Sony.

Naamini hapa kwenye jukwaa kuna wataalamu wa kila aina na hii tasnia najua wapo wa kutosha hasa kwenye resolution na other technical issues. Hivyo basi naomba kujuzwa ipi TV nzuri ili ninunue kitu chenye ubora .

Asanteni sana

Factors za kuangalia.

1.Picha Ang'avu
-Lazima hiyo TV iwe ni HD,tafuta iliyoandikwa kabisa HD na ina HDMI Ports.
2.Tekinolojia ya Kisasa.
-Chagua TV iliyo na latest teqnoloji kama LED,Usinunue TV ya Plasma,Kama umeshindwa LED nunua LCD.
3.Uimara.
-Katika Hizo Brand ukija kwenye uimara hakuna anayempiku Sony.
4.Smart TV
-Angalia TV iliyo smart eg Port za Internet,Port za Cable,Wireless,usb port etc.

Kwa mimi ningechukua TV 42" Sony LED ila mpunga wake ni Mrefu Sana lazima ujipange kweli.
 
Back
Top Bottom