napenda movie
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 522
- 457
- Thread starter
- #101
sawa kwenye utengenezaji wa hizo mambo upo na kiango gani mkuuNdio.
Tuanze basi kwa pamoja
sawa kwenye utengenezaji wa hizo mambo upo na kiango gani mkuuNdio.
Tuanze basi kwa pamoja
Codes haina suala la viwango. Kwasababu project huwa unapambana step kwa step.sawa kwenye utengenezaji wa hizo mambo upo na kiango gani mkuu
IN BOX CHAPCodes haina suala la viwango. Kwasababu project huwa unapambana step kwa step.
Ila kama kuna viwango wewe ungesema upo kwenye kiwango gani.
Kiufupi nilifanya coding 2010 mpaka 2013 nikapoteza laptop yangu yenye masomo yangu ya miaka 3. Nikaacha kabisa mpaka 2020. Ndo nataka kuanza tena kama wewe upo sawa then tuunganishe project ili tuweze kufanya jambo.
Tunaweza kuanza na FRP tool then flash tools.
Ila mm nafanya codes zangu kwa c++ na vilevile vb.net
Ila nipo vizuri pia kwa c#.
Wewe je?
Mm niloyegemea tungeendelea hukuhuku ili tupate na wengine? Maana tukianza sisi tunabaki wenyewe tu. Au ?IN BOX CHAP
nashindwa kutoa hizi version kubwa eg frp like infinix,tecno cammon na natumia MIRACLE CRACK NIFANYEJE MKUUUsawa kwenye utengenezaji wa hizo mambo upo na kiango gani mkuu
sawa huku tutaleta mrejeshoMm niloyegemea tungeendelea hukuhuku ili tupate na wengine? Maana tukianza sisi tunabaki wenyewe tu. Au ?
kutoa frp kwa hizi vission kubwa inatakiwa uwe na DA file ni simpo sana kama unaipenda miracle basi chukua miracle 3.2 ni nzuri sana na inafaanashindwa kutoa hizi version kubwa eg frp like infinix,tecno cammon na natumia MIRACLE CRACK NIFANYEJE MKUUU
Tunaanzaje?sawa huku tutaleta mrejesho
Naona hii project watu wapo kimya. Kweli watu wachoyo na ideas zao. Hata hivyo tayari nimeshaanza soon nitaweka hapa kwa majaribioTunaanzaje?
Unatumia language gani kufanya codes?
Kiufupi tuanze project yetu na tuangalie tunaanza na nn? Ni project gani tunataka kufanya. Kama ni flash tool ama frp tool. Mtk ama spd ama qualcomm.
Lete mrejesho wa idea zako pia. Tangalie wiki moja kama kunamwingine atajitokeza tuungane ama tutabaki wawili tu tufungue group kwaajili ya project yetu.
kutoa frp kwa hizi vission kubwa inatakiwa uwe na DA file ni simpo sana kama unaipenda miracle basi chukua miracle 3.2 ni nzuri sana na inafaa
vile vile zipo tool nyingi ngoja nikuletee liast na link zake
Processorsamahani,unaposema chip hapo unaanisha nini ni hizi android na ios au ni kitu kingine?
Unafanyaje kutoa frp kwakutumia DA file,tupe ujuzi brother wahanga tupo wengi sana.kutoa frp kwa hizi vission kubwa inatakiwa uwe na DA file ni simpo sana kama unaipenda miracle basi chukua miracle 3.2 ni nzuri sana na inafaa
vile vile zipo tool nyingi ngoja nikuletee liast na link zake
Unafanyaje kutoa frp kwakutumia DA file,tupe ujuzi brother wahanga tupo wengi sana.
Frp means FACTORY RESET PROTECTION.hii ni kama kumzuia mtumiaji asiweze kutumia device mpaka aingize security details kama vile google account,or lock screen passwords,kama nimekosea kurekebishwa ruksaa brother.
Nina idea brother,sio fundi.Sawa. Je wewe ni fundi au una aidea yeyote juu ya maswala ya simu? Je Namna ya kuflash, jinsi ya kutumia Tools