Flash tools or Signed Firmware

Nina idea brother,sio fundi.

Kama sio fundi unahitajia ujikite zaidi katika ufundi ili uweze kuwa mzoefu. Kwanza unatakiwa uwe na Pc au Desktop then unatakiwa u-install Driver za Chip husika ya simu unayotaka kuifanyia kazi.

Pia unatakiwa ufahamu simu husika ni chip aina gani ukishafahamu ndo process za kuifanyia kazi unaanza maana bila kufahamu chip ya simu huwezi kufanya chochote.


Hizi ni chip baadhi MTK, SPD, QUALICOMM, N.k....

Unaweza ukawa na Simu ya Tecno lakini Chip yake ikawa ni Mtk, Spd, au Qualicom.

Vile vile unawez ukawa na Infinix lakini chip yake ikaw Mtk, Spd, Qualicomm.

Pia unatakiwa ufahamu kwanini simu zingine zinahitaji DA na zingine zinakubali vizuri.

Ngoja niishie hapo watakuja na wezangu kumalizia
 
Wakuu naomba software za kugenerate sim code,phone code kupitia imei

Yaan nikijaza imei tu niweze kufungua sim lock
 
Ivi hizo donge au box hua zinamaliza mda baada ya mda gani?

Na crack hua zinachukua mda gani ku.expire.

Box/Dongle ni kutokana na jinsi utakavyo amua mwenye, ni kuaniza mwaka hadi miaka miwili.


Crack haina expire date, na haiwezi kupata update ya vitu vipyaa.
 
images (4).jpeg
 
Kuna ANDROID ambazo zina chip ya MEDIATEK(MTK)
Kama TECNO, INFINIX, ITEL n.k
Pia kuna chip ambazo ni (Qualcomm)
Mfano kama, Samsung, pia Infinix, Tecno zipo ambazo ni (QC)
Pia kuna chip SPD, nazo zipo ITEL na zingine kama Tecno CLONE

najua hapa huelewei kitu maana haya mambo yanahitaji uzoefu sana.
Forsure
 
Back
Top Bottom