napenda movie
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 521
- 457
- Thread starter
- #21
kwa kubypass simu kalibia simu zote naweza sema labda kuamsha simu kama samsung ikiwa haiwaki hapo ndo nahitaji box lakini kama ni hangng logo ODDIN inasaidia sana kwa sasa nakuambia na hakuna kazi kabisa ikiwa una signed firmware utaona mambo ni simpo sana