Mrembo hivo unapiga passport?Hahahhaha,umekumbusha tulivyokuwa tunafoji stemp,jamani tunafuta mhuri halafu tunatumia hiyo stemp kutuma barua,pia shida ya maji ndo ilisababisha watu tupige passport size,yaani nilishaapa kamwe wanangu hawawezi kusoma boarding schools
Aisee hayo si maisha ya shule bali ni maisha ya mtaaniMara secondary
yaan ww tu ukitaka lala ukiataka nenda class ukitaka nenda mtaani ukitaka soma ukitaka acha, moja ya shule nilioenjoy MAISHA YA SHULE
Hahahhahaaahhaa mkuu umenichekesha sana.Pugu ilikuwa ni balaa aisee..Makongo;
Kuna mtu alikuwa mtata sana anaitwa Afande Miraji(RIP) alikuwaga NA kawaida ya kupita kitaan kwetu saa 1 usku kila akiwa anatoka job kwake Makongo sec school ...sasa mzee wangu NA mm mili ilikuwa inaendana kdgo alikuwaga naye mjeda NA alikuwa anapenda sana kukaa nje mida hiyo usiku....siku Miraji alipopita nikiwa nimekaa mm pale nje mzee hakuwepo jamaa akatoa shikamo kama kawaida yake NA mm nikaitikia marahaba kumbe akaishtukia ile saut sio ya mshua akaenda zake kimya kimya ...kesho yake jamaa alikuja nichomoa darasan akanipeleka ofisin kwake niliporud joints zote mwilin hazifany kaz maana push ups,kichura chura ndio zilikuwa adhabu zake wiki nzima najisaidia aja kubwa nimesimama maana kuchuchumaa siwez ,...Bas toka siku hiyo nikawa sikae nje ya home kwetu ikifika SAA 1 usku
Kigonsera Sec School
1.Kulikuwaga kuna kajamaa kamoja kutoka Mbeya kalikuwa kanawaingilia wanaume wenzake kishirikina,Aliweza kuwaingilia wanafunzi wengi sana(Mm hakuwahi nigusa hata chembe)...Sasa siku akaingia anga za dogo mmoja (nahisi naye alikuwa ninja ) kutoka Rukwa ndipo alipodakwa kichapo alichopata nusu wamuue ikabid baadae wamuhamishe shule ndio ikawa salama yake
2. kuna Teacher mmoja Yank flan hiv alikuwa anatoka Songea mjin anakuja Mbnga(kigonsera) kutupigia practical za chemistry NA Bios NA kesho yake anageuza, Yy alikuwa rafik wa wanafunzi kwahiyo akawa analala kwenye madom ya wanafunz ...Kulikuwa kuna Teacher mmoja kila ikifa SAA 12 kasoro anapita Dom hadi Dom kuamsha wale ambao hawajasmka, NA kawaida yake akiingia tu akakukuta umelala anatandika bakora hapo hapo juu bila hata kukustua ww unakuja shtukia kitu paaah! ...Sasa siku akaingia room ambapo teacher alikuwa kalala NA wanafunz ndan ahahahahaha jamaa alimtandika fimbo moja ya nguvu yule mwalimu akiwa usingzin ,teacher ikabid apige kelele "mm mwalimu wa practicaaaaaal sio mwanafunz"
Pugu Sec School.
1.Baada ya kukimbia Kigonsera kutokana NA barid Kali nikajiunga Pugu.....Huku identity ya kwamba huyu ni mwanafunz wa Pugu ilikuwa ni kujikuna sehem za siri kwa7bu ya fungus kutokana NA shida ya maji MTU alikuwa anaoga ikifika ijumaa au jmos akiwa anadrop kwenda town maji pale yalikuwa ya pond...
2. Tulikuwa NA kawaida ya kuwa NA magroup ya wanafunz wasiozid 10 katika kugawana chakula,wali au ugali NA mboga zinajazwa kwenye sufuria mbili kubwa kisha anateuliwa mmoja kuwagawia member wa group ambao sahan zao zimetandazwa chini....sasa siku nikachelewa dining bwana alafu ilikuwa siku ya wali nyama(ilikuwa kama sikukuu Siku hii maana attendance inakukuwa nzur hata wale watoro waliokubuhu wanakuwepo) ...Baada ya kukosa kwenye group letu nikaona kuna group linatafuta chimbo ili waanze kugawana menu ikabidi niunge walipotandaza sahaan chin NA mm nikaweka yangu katkat ....Bas yule group leader(jamaa nahis alikuwa NA roho ya Nduli) maana alisambaza chakula Sahan zote tena zimejaa mpaka zinamwagika nyama tatu tatu huku sahan yangu ikiwa nyeupe haina kitu, nilipomuuliza kwann imekuwa hivyo jamaa akanijibu " group letu mzamiaji hana nafasi" daah ikabid niwe mpole tu
zamu yako ilikuwaje mkuuNilisoma shule moja hivi O Level yangu..
Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.
Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.
Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.
Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...
Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..
Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...
Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
zamu yako ilikuwaje mkuuNilisoma shule moja hivi O Level yangu..
Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.
Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.
Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.
Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...
Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..
Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...
Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
Hiyo ya kuumwa nami nimefanya sana1.Nilikua nasingizia naumwa ili tu nisiende darasani nilale bwenini
2.siku ya entertainment kuna mziki kila mtu anakua na demu wake.
3.kucheza kamari bwenini.
4.tulitaka kuchoma shule kisa mwenzetu alizidiwa usiku bila kupata msaada wowote na vurugu ilitokea kubwa walinzi na bunduki zao walituogopa wakawa wapole.
kuna shule inaitwa kilosa agri sec school wanakijiji wanaiita kizunguzi....hapo ticha akikukamata umetotoka kijijini unampiga urabu kesi inaishia huko huko.Mkuu wewe unaitwa nani labda tulikuwa shule moja
Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..
Aisee hayo si maisha ya shule bali ni maisha ya mtaani
Hahhahahah kuna vijana ni hatari kwa kutongoza mweeSie ilisomwa moja nakumbuka maneno haya
"""EWE MPENZI WANGU ULIEUMBWA KWA SURA NA MFANO WA BIKIRA MARIA NIBUSU NA MIMI NIKUBUSU MAANA BUSU LAKO LANOGA KULIKO MZINGA WA NYUKI... ""
Sisahau mpaka leo hapo tulikua fom 1..... Ha ha ha ha spati picha voko za kijana yule kwa sasa
Mambo ya kutoroka na madishi ya nyama nimeyafanya sana.Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..
Mkuu hiyo shule ipo Maeneo ya Kilimanjaro(Mwanga )au mbona kama ndo niliyosomea..??Mwezi dume unatafuta hata kipande cha sabun shule nzima unakosa.
Ukiingia chooni unavua nguo zote kwanza kisa harufu kali vyooni
Kutoroka na madishi siku ya nyama na wali na kutokomea nayo porini.
Kuna jamaa alikua kiranja wa msosi siku ya nyama anachukua nyama kwenye kindoo na kuuza kinyango shs 200
Ukienda na mkate shuleni wewe ni mfalme..
1.Dah sitosahau nyeto ya papai au mende ndani ya mtosana tuu...ila kiboko ya yote ni nyeto ya kutumia nzi...dah