Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,072
- 136,485
- Thread starter
- #61
With folded hands, thank you so very kindly.I admire your english so much
This is not the first time you are expressing your admiration.
You are appreciated.
With folded hands, thank you so very kindly.I admire your english so much
Kwani ni lazima mtu awe ‘fixed’ na watu wa nje?Tanzania haijawahi kua tishio kiuchumi na kiusalama kwa nchi ambazo zingeweza kujaribu kufanya hivyo.
Kwangu hii nadharia naona bado ni nyepesi kwakua ingawa amekua mtata (Makinikia, Msouth n.k) ila mwisho alikaa nao chini au kufika mahakamani.
You don't fix such a person. Binafsi yangu hii nadharia ni nyepesi mno kuweza kuikubali.
Wengi tu imetumika fursa ya covidNimewaza sana.....jamaa wakaamua kutumia fursa ya Covid kufanya mambo yao.
Shambulio pekee kwa aliyewahi kua rais Tz baada ya nchi yetu kukubali demokrasia linabaki la jamaa aliyempiga kibao Mwinyi.Kwani ni lazima mtu awe ‘fixed’ na watu wa nje?
Umesahau kuwa kikulacho ki nguoni mwako?
Haa wapi, ule ugonjwa noma mkuu. Alafu ujifanye mbishi uanjichanganya hovyo hovyo.Nimewaza sana.....jamaa wakaamua kutumia fursa ya Covid kufanya mambo yao.
Well, kwa vile hatujui kinachomsibu, ngoja tuendelee kubashiri...Haa wapi, ule ugonjwa noma mkuu. Alafu ujifanye mbishi uanjichanganya hovyo hovyo.
Alichokifanya ni ubinafsi, kiongozi huwezi kujiachia vile kwenye gonjwa la mlipuko. Kinachoendelea sasa hivi BUS linakwenda bila dereva.
TRUMP nae walimfanyia mambo? Si alikuwa kichwa ngumu na baada kuugua akaenda kuchoma chanjo kimya kimya.
Hao jamaa hu comment mara moja tu,Umesoma twiti ya Lissu kwanza? Kuna recovering ya muda mfupi kwa yale aliyoyataja lissu?
Niliwaza hivi alipofariki Mzee wa Pemba.Nimewaza sana.....jamaa wakaamua kutumia fursa ya Covid kufanya mambo yao.
Wananchi wana haki ya kujua kiongozi yupo na anaendeleaje?Well, kwa vile hatujui kinachomsibu, ngoja tuendelee kubashiri...
Na hivi karibu sheria zitakuwa lugha ya kiswahiliWatu wengi hawajui kuwa kiswahili ni kigumu zaidi kuliko mayai ya malkia.
Fixed na Mabeberu au hayo Manyoya aliyoyaunga ?I’m not big on conspiracy theories.
But in the absence of veracious information, what’s one to do?
Just sit idly by and wait for it to be delivered to your doorstep?
Nah! Not for a thinking man.
I enjoy ruminating on things. I raticionate on just about anything, to make sure that I cover as much bases as possible.
So, with that being said, I have a question.
How likely is it that he’s [you know who] been ‘fixed’?
If I were to hazard a guess I’d say because he has ruffled a lot feathers within the system and along the way, and with the pandemic serving as a perfect and an expedient backdrop, it was just a matter of time before they caught up to him....and did what they had to do.
How does that sound? Too far-fetched?
I’m just sayin’. I’m not sayin’. But you know what I’m sayin’.
![]()
Agree, can re-work that second 'know', but it's no big deal!you know
you know
you know
Linguistic, English
Irish English, American English, Australian English
ROfl:RoFl
NaaamKwa mtu aliekuwa na 'self destruction ' behaviour kama ubishi na kiburi..tutawasingizia wasiohusika
Only ameji fix mwenyewe
Hata Mwinyi, si alizabwa kibao baada ya kustaafu au siyo?Shambulio pekee kwa aliyewahi kua rais Tz baada ya nchi yetu kukubali demokrasia linabaki la jamaa aliyempiga kibao Mwinyi.
Nafikiri hakuna mwenye hamu ya kujaribu kumtandika Rais mwingine kibao au kuvuka stage ya kibao mpaka kwenye fixing.
Sasa huu ni uchochezii huku unajua kabisa kingereza kinawapoteza Mataga wengii, wameshapata picha DaVinci alimaanisha nini 🤣🤣For Swahili Audience 😅
Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu...
Tusome nini mkuu?Watu mkiambiwa someni hamtaki, oneni sasa mnashindwa kujua jamaa kamaanisha nini.
Smh
Mimi sitaki vingereza vyenu, ninachoweza kukwambia ndugu Nyani jamaa yupo chimbo katulia wala hana shida yoyote bila hizi maneno angekuwa kaibuka siku nyingi ila kwavile watu wamechagua kuongea basi amekaa kimya ili asikie mnaongea nini, yaani kama anavuta fegi basi saivi anamaliza mapakti tuWith folded hands, thank you so very kindly.
This is not the first time you expressing your admiration.
You are appreciated.
Public figures have to keep their words, a country is not a company, neither running a government is not like family mattersYaani haka ka-translation ka Google ndo kamezidi kuufanya huu uzi kuwa mgumu....