sheby dunia
Member
- Jul 12, 2018
- 78
- 82
Habari wakuu mwenye kujua utaratibu wowote wa kufungua fixed account mana kueka pesa ndani nmeshindwa bora nizifungie tu.
Si pesa haikatwi lakn na minimum miez mingap kukaa.
Yakudunduliza kaka ko kiwango cha chin ni mda gan kukaa benk had wakuruhusu kuitoaya nmb inayo riba ya 13% unatoa mara tatu tu kwa mwaka kianzio 50,000,hiyo ya nbc sina taarifa nayo
mkuu nakushauri kama ela ni nyingi sana ni bora uwekeze, unanunua mzigo unauza, kuliko kuiweka benk.
kama ndiyo hiyo ya kudunduliza ili ufikie malengo weka nmb
mwaka mmojaYakudunduliza kaka ko kiwango cha chin ni mda gan kukaa benk had wakuruhusu kuitoa
Duuuuuh ko kuwithdraw had mwakamwaka mmoja
ingia google andika nmb bonas acc
upate maelezo zaidi
Sio kweli bonus account unatoa pesa muda wowote unaotaka labda kachanganya fixed account .Duuuuuh ko kuwithdraw had mwaka
Riba zao znaendaje mkuu afu unaruhusiwa kutoa baada ya mda ganKwenye menu ya nmb mobile nimeona option ya kuifix account,
Sema riba zao za kitoto sana
Kama Huna Self-discipline Ni kazi bureHabari wakuu mwenye kujua utaratibu wowote wa kufungua fixed account mana kueka pesa ndani nmeshindwa bora nizifungie tu.
Around 5% hiviRiba zao znaendaje mkuu afu unaruhusiwa kutoa baada ya mda gan