Acha kulialia. Mjomba wenyu Karihia wa kule tifaifu. Anaugulia maumivu ya sindano mbili alizopewa leo bila ganzi....Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.
Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,
Tff ni wajibu kulichunguza hili
View attachment 2323275
NakaziaSijaona kibaya alichofanyiwa hapo na ninachokijua hawa Wakongo ni Marafiki wakubwa na hutembeleana mno huko Walikopanga na hawana Uadui huo ambao Sisi tunaudhania.
Hata wewe mkuu unasapoti hiliNasapoti mawazo ya mtoa mada huu ni udhalilishaji kabisa
Mtoa mada ni yangaMimi Simba mwenzio ila hapo sioni shambulio la aibu, hiyo ndo maana ya utani wa jadi,mpira sio vita
Mpira ukiuchukulia siriaz unamtoa mtu mood hata kumuua jitahidi uwe unashabikia kiasi kama mimi niko poa hata timu yangu ipigwe naenjoy tu maumivu kidogo mno tena kwa dakika chache tu.Inonga jana kacharazwa yeye. Halafu kuanzia leo naacha kuchukulia mpira serious aisee utaniua jana hata usingizi umepaa na hivyo na mr nae ni simba kindakindaki basi kila mtu aligeukia upande wake. Itoshe kusema ntashangilia kwa kiasi.
Jamaa ni Yanga hapa anataka anafanya utani kwa mpango wa nyuma ili makolo wajitokeze kusoma uzi na kuona video wazidi kukureka..Weee naye chuki na hasira zimekujaaa ,hayo ni mawazo mgando ,, SA ujinga gan huo TFF iingilie utan wa hao wakongo ?
Sure mkuu, ni ubatili mtupuMpira ukiuchukulia siriaz unamtoa mtu mood hata kumuua jitahidi uwe unashabikia kiasi kama mimi niko poa hata timu yangu ipigwe naenjoy tu maumivu kidogo mno tena kwa dakika chache tu.
Jana naona tambi za mayele kichwani zilikua zinaruka ruka tuuJana inonga alikuwa kuwa na kazi ya kuonyesha mwanya tu. Mwanya mpana kama geti la hospitali
Kwanini, usihamie yanga upate furaha kamili?, Kwasababu, tatizo siyo la Inonga peke yake. Hatahivyo, yanga inawachezaji mahiri kuliko Simba.Me ni Simba Ila nimefurah kufungwa na yanga ,huyu inonga huenda akapunguza sifa za kijinga kwenye issues za maana
Zilirukaruka kwa faida, si uliona inonga alivyopigwa tobo kwenye goli la pili. Jana mabeki wa simba wamedhalilishwa, azizi ki nae alipiga tobo mtu.Jana naona tambi za mayele kichwani zilikua zinaruka ruka tuu
Kwani tobo mbona hata yanga walipigwa. Zile tambi hazimpendezi asuke tuu minyoosho hahaaZilirukaruka kwa faida, si uliona inonga alivyopigwa tobo kwenye goli la pili. Jana mabeki wa simba wamedhalilishwa, azizi ki nae alipiga tobo mtu.
Siba humu moya
Ili afanane na Mugalu! 😂Kwani tobo mbona hata yanga walipigwa. Zile tambi hazimpendezi asuke tuu minyoosho hahaa