Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Sawa kwake:
Hivi kuna ulazima gani kwa aliyesilimu kubadili jina lake la asili yake na kuchukua jina la Kiarabu ?
Cha pombe Liquidi kapewa jina gani ?
 
Hakuna cha dini hapo ni watu kueneza utamaduni wao tu, huo ndio ukweli na wajinga ndio waliwao.

Sasa ni dini kivipi kama eti lazima ubadili jina ili uchukue la kiarabu kwa akili ya kawaida tu huoni huo ni utapeli kabisa.

Mimi siwezi kukubali huo ujinga mbona waarabu wenyewe wasibadili majina watumie ya kiafrika!!???🤷🤷🤷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…