ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Haki ya mungu,
Yaani toka umeingia chuo mwaka 2005 akili haijakuwa tu?
Kama unajua grammar, usage, na mechanics za Kiingereza basi utajua kuwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni hawaitwi "first years".
Kuna kawaida kila mwaka first years kuwa na jina. Mimi mwaka 2005 niliitwa 'Tsunami'. Napendekeza waitwe 'Rasimu' au 'Bunge la Katiba' au UKAWA
Wadau mnasemaje?
Jamaa hata kingera hajuiiiii...... afu hataki kukubali hakuna FIRST YEARS uwiiii mwache abaki na ujinga wake alio nao KUBWA JINGA HILO
Hebu jaribu tu kuitafsiri hiyo "first years" kwa Kiswahili halafu uone kama ina make sense.
Jamaaa hajakuwa eti kiakili hadi leo karibia miaka 9 tangu hadu sahizi + umri wakeeee kazi.kweli kweli unaonaje tuka mwita huyi ni MPUUZI
Sijui hata tuaitaja vipi....hata ikitwa "miaka ya kwanza" haileti maana
hahaha kwajins mlivyo mwandama sijui kama atakuja kurudia tena hahaha mpuuuuuzi upon... !!!!!
Ndio watu wa namna hii wanaandika na proposal na reseach wanapata na vyeti
wanaajiriwa kwenye maofisi makubwa kumbe kichwani hamna kitu.
Siyo kwamba siamini. Ni najua hawaitwi "first years" kwa Kiingereza.
Huyo jamaa ni KICHWA CHAKE NI HEWAA
Wanaitwaje? Jadili hoja kama umeielewa vyovyote.Hili si darasa la lugha
Jamaa hata kingera hajuiiiii...... afu hataki kukubali hakuna FIRST YEARS uwiiii mwache abaki na ujinga wake alio nao KUBWA JINGA HILO
kingera ndo nini mwenyewe sikijui
Hawaitwi "first years".
Kuna kawaida kila mwaka first years kuwa na jina. Mimi mwaka 2005 niliitwa 'Tsunami'. Napendekeza waitwe 'Rasimu' au 'Bunge la Katiba' au UKAWA
Wadau mnasemaje?
Duuuu kubwa zima hovyoooooooooo..... kumbe ma ww bado hujakua eeh una akili ya kiprimary ya kuitana majina ya kikudaaa uwiiiii.....afu eti we ni msomi.... itakusaidia nn ukiwapa first year jinaaa....kazi kweli kweli na wapuuzi wenzio wanakuunga mkonoooo kwenye ujinga ama kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasiiiii......sio mpaka ugongewe kengere ndo ujijue umekuwa yaani unakosa cha kufanya unatuletea mada ya kipuuzi kama hiii........na wanao kuunga mkono nao wapuuzi mm nilijua hizi tabia ni za 4m1 kumbe hadi huku juu
Huyo jamaa ni KICHWA CHAKE NI HEWAA
hahaha kwajins mlivyo mwandama sijui kama atakuja kurudia tena hahaha mpuuuuuzi upon... !!!!!
Wanaitwa Freshers