Duuuu kubwa zima hovyoooooooooo..... kumbe ma ww bado hujakua eeh una akili ya kiprimary ya kuitana majina ya kikudaaa uwiiiii.....afu eti we ni msomi.... itakusaidia nn ukiwapa first year jinaaa....kazi kweli kweli na wapuuzi wenzio wanakuunga mkonoooo kwenye ujinga ama kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasiiiii......sio mpaka ugongewe kengere ndo ujijue umekuwa yaani unakosa cha kufanya unatuletea mada ya kipuuzi kama hiii........na wanao kuunga mkono nao wapuuzi mm nilijua hizi tabia ni za 4m1 kumbe hadi huku juu