First Public Preview: Hosanna Studio

First Public Preview: Hosanna Studio

RobyMi thd IDE isbhosted on private git repo so it's hard to file bugs/feature request directly. Nita install bug tracker somewhere na kuweka Link hapa.

Hilo tatizo sijaelewa bado, kwamba kwenye Preference ni preview pekee ndio ina default 1pt au hata kwenye Editor?

Maoni yako unaonaje?

Sorry again, nimeshindwa kujibu ontime, Ilikua ina default to Ipt instead of the default system font ndan ya preference window

Sijajua ulifika wapi, ili nna neno moja tu. Project ni nzuri, keep the good work.


Anyone still interested?
I'm still intereseted..
 
Anyone still interested?
Am interest but...
OkQ5GYs.png
 
Okay so since kuna watu wako interested, nitai upload labda mwishoni mwa wiki ya kesho. Sina hakika kama kuna mtu anatumia Linux yuko interested (Ubuntu 16.04 only kwa sasa. Sina resources za ku cater kila OS kwa sasa). MacOSX bado very unstable.

Nitapost hapa. Ila bugs zote zitaripotiwa link hapo chini ambapo pia unaweza kuona kuna progress underway 🙂

Project ManagementHosanna Studio: Tasklist
 
Friendly speaking , nakushauri kuachana na hii project ya kutengeneza editor(software) coz utaweza kukompit na waliotangualia ni bora utafute PROBLEMS katika nchi hii na kusolve kwa njia ya IT coz itakulipa. Matatizo ni mengi sana ya kusolve kwa nchi yetu kama ukiwa serious kufuatilia kiundani kuliko kudili na kitu ambacho uwez pata supporter zaidi ya kusifia basi. Developer wengi sana kwa sasa watumia PHP Storm , Atom na zote ni IDE na ziko juu kwel kwel. Sina nia ya kukatisha tamaa niko hapa kama kukashauri uweke nguvu nying kwel kitu ambacho ni PROBLEMS kwa watu.

Kwa kumalizia ni kwel umefanya kitu kizuri na umeonesha uwezi wa hali ya juu ila ujasolve tatizo.
 
Friendly speaking , nakushauri kuachana na hii project ya kutengeneza editor(software) coz utaweza kukompit na waliotangualia ni bora utafute PROBLEMS katika nchi hii na kusolve kwa njia ya IT coz itakulipa. Matatizo ni mengi sana ya kusolve kwa nchi yetu kama ukiwa serious kufuatilia kiundani kuliko kudili na kitu ambacho uwez pata supporter zaidi ya kusifia basi. Developer wengi sana kwa sasa watumia PHP Storm , Atom na zote ni IDE na ziko juu kwel kwel. Sina nia ya kukatisha tamaa niko hapa kama kukashauri uweke nguvu nying kwel kitu ambacho ni PROBLEMS kwa watu.

Kwa kumalizia ni kwel umefanya kitu kizuri na umeonesha uwezi wa hali ya juu ila ujasolve tatizo.

Duuh!
Sijui mitazamo ya wadau wengine utakua vipi kuhusu comment yako ambayo inaonesha kupotosha!
Ila kama mentality ya developers wote ingekua hii sijui Ulimwengu wa Tehama ungekua vipi?
Unafikiri hata hiyo Atom Text editor waloitengeneza walikusudia kupata hela au kuwapita makampuni kama JetBrains wanaotengeneza hizi IDE?

Ukiona mtu kafika stage ya ku develop IDE maana yake he/she is at Good level na kwa ku develop IDE maana yake anaendelea kuzipeleka Skills zake to the Next High level katika organization na management ya Projects kubwa maana naamini kutengeneza hiyo IDE unakua una deal na some thousand lines of code!

Just because kuna Mozilla firefox au Google chrome hakuzui uwepo wa browsers kama Dooble au QtWeb e.t.c
Na hii hainizuii mm ku attempt ku develop kitu kama hicho...sababu thru development ndivo unavokuza skills.
Mm najua haya yote unayajua ila tu labda ulijitoa ufahamu!

Labda kuna msemo popular wa Linux nkutupie utakubadilisha mentality
Screenshot_3.png
 
Ngoja niandike kujaza server tu, maana sielewi lolote hapa.
 
Njunwa Wamavoko kaandika vyema. Lakini naomba nikuelimishe kitu kidogo ndugu yangu. Hii ni project ambayo 90-98% haichajiwi kitu. Tunatarajia kuchaji kwenye baadhi ya plugins tu ambazo ni added value, lakini vingine vyote ni free. So don't worry much about money.

Pili sababu ya kampuni kuanzisha program kama hii ni baada ya kuona mapungufu katika IDEs zilizopo. PHPStorm unayosema, imetenegenezwa kwa Java kama ilivyo NetBeans, Eclipse et al. So bado ina tatizo la kutumia memory kubwa among others.

Kuhusu point yako ya kuyapita mengine, wakati JetBrains inakuwa founded in 2000, kulikuwa na NetBeans, Eclipse, and many other IDEs. Lakini tukitumia maneno yako tukayapeleka back then tusingekuwa na PHPStorm au IntelliJ IDEA. So nadhani mawazo yako hayako sahihi.

Mwisho nikuarifu tunatengeneza solutions nyingi tu ndani na nje ya nchi. Kwa sasa tuko kimya ila soon utaanza kuona products zikipiga kelele.

As addendum:
Wakati Chrome inaanza Firefox walikuwepo
Mac (1984) haikuzuia kuja kwa Windows (1985) ambayo pia haikuzuia kuja kwa Linux (1990s)

So kama unadhani unaweza kuleta product bora kuliko WhatsApp basi usiogope, leta tu!
 
Friendly speaking , nakushauri kuachana na hii project ya kutengeneza editor(software) coz utaweza kukompit na waliotangualia ni bora utafute PROBLEMS katika nchi hii na kusolve kwa njia ya IT coz itakulipa. Matatizo ni mengi sana ya kusolve kwa nchi yetu kama ukiwa serious kufuatilia kiundani kuliko kudili na kitu ambacho uwez pata supporter zaidi ya kusifia basi. Developer wengi sana kwa sasa watumia PHP Storm , Atom na zote ni IDE na ziko juu kwel kwel. Sina nia ya kukatisha tamaa niko hapa kama kukashauri uweke nguvu nying kwel kitu ambacho ni PROBLEMS kwa watu.

Kwa kumalizia ni kwel umefanya kitu kizuri na umeonesha uwezi wa hali ya juu ila ujasolve tatizo.
Hapa ndugu yangu umechemsha!!
 
Friendly speaking , nakushauri kuachana na hii project ya kutengeneza editor(software) coz utaweza kukompit na waliotangualia ni bora utafute PROBLEMS katika nchi hii na kusolve kwa njia ya IT coz itakulipa. Matatizo ni mengi sana ya kusolve kwa nchi yetu kama ukiwa serious kufuatilia kiundani kuliko kudili na kitu ambacho uwez pata supporter zaidi ya kusifia basi. Developer wengi sana kwa sasa watumia PHP Storm , Atom na zote ni IDE na ziko juu kwel kwel. Sina nia ya kukatisha tamaa niko hapa kama kukashauri uweke nguvu nying kwel kitu ambacho ni PROBLEMS kwa watu.

Kwa kumalizia ni kwel umefanya kitu kizuri na umeonesha uwezi wa hali ya juu ila ujasolve tatizo.

Sijui nikueke kundi gani ndugu .!
Labda ushauri wa wakuu hapo juu utakufumbua akili kidogo
 
Duuh!
Sijui mitazamo ya wadau wengine utakua vipi kuhusu comment yako ambayo inaonesha kupotosha!
Ila kama mentality ya developers wote ingekua hii sijui Ulimwengu wa Tehama ungekua vipi?
Unafikiri hata hiyo Atom Text editor waloitengeneza walikusudia kupata hela au kuwapita makampuni kama JetBrains wanaotengeneza hizi IDE?

Ukiona mtu kafika stage ya ku develop IDE maana yake he/she is at Good level na kwa ku develop IDE maana yake anaendelea kuzipeleka Skills zake to the Next High level katika organization na management ya Projects kubwa maana naamini kutengeneza hiyo IDE unakua una deal na some thousand lines of code!

Just because kuna Mozilla firefox au Google chrome hakuzui uwepo wa browsers kama Dooble au QtWeb e.t.c
Na hii hainizuii mm ku attempt ku develop kitu kama hicho...sababu thru development ndivo unavokuza skills.
Mm najua haya yote unayajua ila tu labda ulijitoa ufahamu!

Labda kuna msemo popular wa Linux nkutupie utakubadilisha mentality
View attachment 477233
Nimejifunza sana kwenye komenti yako hii, coding ni kama art inaanzia ndani kwa mtu yani ni zaidi ya kupiga tu pesa.
 
Damn!! When you see what other programmers are capable of, huna jinsi zaidi ya kuwa humbled. Much respect to you brother.
Programming is like a ladder, you climb one element at a time. Keep climbing brother and see you at the top
 
Back
Top Bottom