First lover

First lover

Brownbeezy

Member
Joined
Oct 11, 2014
Posts
18
Reaction score
2
Jamani mimi sio mkubwa sana kwa hiyo story so ya zamani ni kipindi niko darasa la saba,iko hivi.

Nakumbuka nilikuwa na marafiki kama wanne hivi ila mimi kiumbo ndo nilikuwa mrefu kidogo kulinganisha na wenzangu ambao niliwazidi kama mwaka mmoja hivi Sasa sijui ilikuaje hadi nikamtuma rafiki yangu mmoja kati ya wale akanipigie saundi demu ambae alikua jirani take na walikua marafiki.

Demu akakubalii hata nilikua sinaga story za kupiga nae.Nimekumbuka nikacheka nilipo fikiria jinsi nilivyokuwa naangua maembe,naweka kwenye friji likipoa na mpelekea mimi life linaenda na ubuyu aisee nimekumbuka alikula mwingi.
Sikuwai hata kumshika make sijui nilikuwa naogopa.

How was your first relationship.
 
Dori doori hii hapa nguo yangu ya sikukuu nioneshe na wewe yako....
 
Sijui tatizo kiswahili kigumu? au macho yameanza kunisumbua au mleta mada sio rika langu kwa hiyo sielewi lugha yake??? Hebu ngoja..................
 
Sijui tatizo kiswahili kigumu? au macho yameanza kunisumbua au mleta mada sio rika langu kwa hiyo sielewi lugha yake??? Hebu ngoja..................

Tigo jismartphonishe imeleta shida kila mtu ana acess JF
 
navuta picha lini mafriji yalipata umaarufu nagundua huyu ni miaka isiyozidi ishirini
 
Back
Top Bottom