First Lady Salma Kikwete

mwacheni ale maisha miaka mnne iliyobaki ni michache asipotesa sasa atajuta
 
 
 

unanishangaza eti me sipendi kwani umelazimishwa.hiyo ni sheria kutoka kwa mungu na sababu maalum zipo zinazoelekeza kufanya hivyo.kuhusu mwanamke kuolewa na waume wengi halipo kttk uislamu.
nashangaa mtu ana huyo mke mmoja lakini kuna nyumba ndogo ambazo si halali kibao si bora huyo anayejulikana kisheria.
 

ili iweje ukishajua alipo? wewe tafuta riziki yako kila siku achana na kufuatilia mambo ambayo hayana tija kwako
 
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania

Yes!! Muswati ... Hukuona mama Salma pia alichukua ndege kwenda kwa sherehe ya Mswati? Sasa imekula kwake na yeye, ukiua kwa upanga utauawa kwa Upanga!!! Inauma eee!
 
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania

Acheni maneno ya vijiweni nyie,, mnakuwa kama watu wasiosoma? Kama haonekani itasaidia nini kero za watanzania? Akionekana naye kila mahali,,taaabu,, ooh jamaa na mkewe wanatumia pesa za wananchi kujirusha. Asipooonekana,, hiyo nayo nongwa!! Ninyi mna roho za aina gani?? Typical uswahili.
 
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania

ana wanawake wengi na watoto nje ya ndoa. Hvi unajua hata vicky kamata demu wake? Na kazaa nae tangu 2006? Pia tetesi hata beatrice mkwasa ashampitia. Kwa ufupi jamaa hafai, na ndio sababu anashirikiana na mafisadi apate cha juu kuendeshea familia zake. Mi nikisikia kamteua mwanamke kushika nyadhifa flani hua naogopa, hatoagi bila kuchakachua. In short hakuna mwanamke mzuri hapa bongo anaemtaka atashindwa kumgonga. Afu ole wako uzuie, kamuulize liyumba na babu seya
 

sure, hata mie nashangaa!
 
Huyu mkwere ni balaa! Walitia umbeya juu ya slaa kumbe yy nizaidi! Taarifa za chini ya kapet zinasema yule bwana aliyejifanya ni mume halis wa demu wa slaa ni shoga ndiyo maana aliachwa na mkewe. Kuna mwenye ukweli zaidi?
 
ADB kuunganisha nchi tatu kwa reli


Source: Tanzania Daima


BENKI ya Maendeleo ya Afrika (ADB), imesema itazisadia serikali za Tanzania, Rwanda na Burundi katika mradi wa ujenzi wa reli ambao uko kwenye ratiba ambao unatarajiwa kuanza muda wowote.
Mradi huo utahusisha ukarabati na upanuaji wa njia ya reli kutoka jijini Dar es Salaam hadi Isaka, na Isaka hadi Kigali/Keza, Kigali hadi eneo la Gitega na eneo hilo hadi Musongati.
Taarifa iliyotumwa jana kwenye vyombo vya habari na kusainiwa na Mkurugenzi wa ADB, Zoe Molapisi, ilisema ADB imekuwa sehemu katika mradi huo tangu mwanzo wake ambapo fedha zinazotolewa zimetumika kwa ajili ya masomo yakinifu ya mradi huo.
Ingawa ADB ilisema itazisaidia nchi hizo katika ujenzi wa reli haijaweka wazi ni kiasi gani cha fedha ambacho kinatarajia kutoa ili kuwezesha mradi huo kukamilika.
Ofisa Mkuu wa Uwekezaji, Sekta Binafsi ya Miundombinu wa ADB, alikaririwa akisema kwenye taarifa hiyo kwamba miundombinu imekuwa ni changamoto kubwa katika miradi ya maendeleo katika nchi za Afrika.
“Miundiombinu hafifu inarudisha nyuma maendeleo ya uchumi wa Afrika kwa asilimia 2 kwa mwaka na kurudisha uzalishaji imara kwa asilimia 40,” alisema.
Aidha taarifa hizo alimnukuu Rais Jakaya Kikwete akisema kwa kutumia mikataba hiyo, mradi wa ujenzi katika nchi hizo tatu utakuwa endelevu.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Nalikka alikaririwa akisema takwimu zinaonyesha kwamba mradi huo ni wa umuhimu kati ya nchi hizo tatu.
Alisema ADB inafurahi kusaidia serikali za Afrika kuwezesha mazingira bora kwa ajili ya sekta binafsi na kuboresha miundombinu muhimu ikiwemo ya udhibiti na kuendeleza kisheria.
Alisema ushirikiano baina ya umma na sekta binafsi (PPP’s) ni jambo muhimu, hivyo ADB inaratajia kuangalia mbele zaidi katika kukamilisha mradi huo wa reli.
 
haya mambo mi nadhani ni personal, sisi tunataka kikwete atuambie kwanini anamsumbua magufuli?!!!

sisi wewe na nani? Count me not, kibanda changu cha urithi kule mikese kilishakula mkasi, kiko mbaaaaali!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…