First lady Regina ndani ya Arusha Mjini

karibuni sana wamama na mabinti mnaojielewa.

Wamama na wasichana wote wanaojielewa watakaohudhuria wamshauri Regina Lowasa kuwa amshauri mumewe Lowasa aache siasa aende hospitali kutibiwa badala ya kwenda ya kwenda kwenye majukwaa ya siasa kwa hali ile aliyonayo.

Wakimshauri hilo watakuwa wametenda haki kama wamama na wasichana wanaojielewa.Vinginevyo wasipofanya hivyo nao nitawaona vichwa vyao vimejaa maji na mbege tu.
 
Mgonjwa ni wewe usie kua naadabu mpumbavu wewe wee unaweza ukawa na ukimwi tena jichunguze kwanza au tia kidole maeneo alafu nusa ndo hutajua binadamu hajakamilika bora yako wewe unae jua ungonjwa na uzima wa mtu ila hujui yako.
 

Wenda wewe ni mtoto wa kambo wa lowassa.muhulize mama yako vizuri.


swissme
 

wagonjwa wapo muhimbili wamelezwa tulia gamba wew
 

Labda first Lady wa Kanda ya Kaskazini.
 

Yaani akina manka toka machame watafurika hapo hadi basi.Mkutano huo asilimia kubwa watakuwa akina mama na akina dada toka machame kwa Mbowe.
 
wagonjwa wapo muhimbili wamelezwa tulia gamba wew

Lowasa NAHISI atakuwa alitoroka WODINI muhimbili.Kama Mnabisha jaribuni kumpeleka muhimbili hata kama kwa medical check up kama hajatiwa pingu na kulazwa ICU chini ya ulinzi mkali ili asitoroke tena matibabu kwenda kuhutubia mikutano ya UKAWA .
 
kuna watu wametolewa rungwe mbeya wamepelekwa mafinga kujaza uwanja anapopita magufuli....imagine rungwe had mafinga...hawa jamaa nineamin walishafeli.....komaaeni ukawa nchi yenu....walioletwa wenyewe ni rafiki zangu wanadai wao ni ukawa ndo naaamin hawa jamaa kwaheri
 

inaonekana hamjajifunza kutoka kwa kombani.katangulia kamuacha Lowasa akimwaga sera kwenye majukwaa
 
Lowasa NAHISI atakuwa alitoroka WODINI muhimbili.Kama Mnabisha jaribuni kumpeleka muhimbili hata kama kwa medical check up kama hajatiwa pingu na kulazwa ICU chini ya ulinzi mkali ili asitoroke tena matibabu kwenda kuhutubia mikutano ya UKAWA .

sawa usahili wako umeisha tumegundua licha ya kutokua na kipaji cha kuchekesha lakini pia kipaji cha kuongea ueleweke huna, unatujazia tu nzi hapa
 


Unajifurahisha kwa ujinga wako.
 
Wamama toka terrati ndio wanaimba.
network inasumbua picha haziendi nitawatumia baadae
 
Mama piga kazi, toa mfano thabiti juu ya uwezo wa wanawake.
 

Hongereni sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…