Huyu je?Jamaa msela sana huyo, safi sana
Sijui kwa upande wako, lakini ukweli simuoni Ruto kama anaweza kuwa Rais mzuri, anaonekana anaweza kuwa kama Moi...Kweli, lazima yatakuja tokea. Watatamani wafanye rewind. Kwanza yule Ruto yule!
Raila mwenyewe anaendaga.huyu jamaa nahisi hata chachil show huwa anaendaga
Atujibu kwanza ben saanane yuko wapiHuyu je?
duh kuna nchi unaweza kutana na rahisi mkapiga hata story hapa kwetu mkuu wa wilaya tu kupiga nae story inahitaji kazi ya ziadaRaila mwenyewe anaendaga.
Sembuse huyu..?
Huwa unatizama Churchill Show? Safi sana. Tazama clip zao za zamani. Alihojiwa kwenye Churchill Show kisha akachapa request ya wimbo wa reggae, UB40.
Huyo jamaa ni mchapakazi kupindukia. Ila huwa hana uvumilivu hata kidogo. Kawaida ya huyo makamu wa rais huwa ana visasi vya kisiasa. Ukimpita wrong hajui kukausha kama rais Uhuru. Yeye lazima atakunyoosha tu. Mambo yatakuja badilika jombaa.Sijui kwa upande wako, lakini ukweli simuoni Ruto kama anaweza kuwa Rais mzuri, anaonekana anaweza kuwa kama Moi...
Throwback memes: 'Musee' alipogoma kuhudhuria mdahalo wa wagombea urais, kabla ya uchaguzi kule Kenya.
Mbegu ya kijerumani na kikikuyu. Ila usiwe na bifu.Huyo Muzungu first lady hata Kiswahili hajui!
Mbegu ya kijerumani na kikikuyu. Ila usiwe na bifu.
Anajua kiswahili bana.Kwa nini hajui Kiswahili?
huyu jamaa nahisi hata chachil show huwa anaendaga
Mwenzako amekuekea hapo. Video ya rais Uhuru alipohojiwa kwenye kile kipindi cha comedy, almaarufu Churchill Show.
Mwenzako amekuekea hapo. Video ya rais Uhuru alipohojiwa kwenye kile kipindi cha comedy, almaarufu Churchill Show.
Kwetu wanajifanya miungu watuduh kuna nchi unaweza kutana na rahisi mkapiga hata story hapa kwetu mkuu wa wilaya tu kupiga nae story inahitaji kazi ya ziada