pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Throwback memes: 'Musee' alipogoma kuhudhuria mdahalo wa wagombea urais, kabla ya uchaguzi kule Kenya.
Msela eeh? Hahaha!Jamaa msela sana huyo, safi sana
Huwa unatizama Churchill Show? Safi sana. Tazama clip zao za zamani. Alihojiwa kwenye Churchill Show kisha akachapa request ya wimbo wa reggae, UB40.huyu jamaa nahisi hata chachil show huwa anaendaga
itabidi na magu tumualike ze comediAlialikwa.
na wish sana na magu angekuwa kama huyo wa kenya au Mugabe na zile maneno yake kwenye page zakeHuwa unatizama Churchill Show? Safi sana. Tazama clip zao za zamani. Alihojiwa kwenye Churchill Show kisha akachapa request ya wimbo wa reggae, UB40.
Hahaha eti Ze comedy.itabidi na magu tumualike ze comedi
Huo ulikuwa ni utani tu. Haya mambo ya mitandao ya kijamii huwa hawana wakati nao. Kuna watu wameajiriwa kushughulikia mambo kama hayo.na wish sana na magu angekuwa kama huyo wa kenya au Mugabe na zile maneno yake kwenye page zake
dah ila mkuu yale maneno ni kuntu sanaHahaha eti Ze comedy.
Itakuwa show kali sana hiyo. Huo ulikuwa ni utani tu. Haya mambo ya mitandao ya kijamii huwa hawana wakati nao. Kuna watu wameajiriwa kushughulikia mambo kama hayo.
Acha na usiwe unahisi tena, NI KUWA ANAENDANGA
Yaani wewe ulijua ni kweli kwamba yale maneno ni ya Mugabe?dah ila mkuu yale maneno ni kuntu sana
Shilawaduitabidi na magu tumualike ze comedi
Teh teh teh! Kwa sasa wanamponda lakini siku akiondoka ndiyo watajua uzuri wake...Rrrrrrraaah!Kali sana!Yes rasta!
Yeye wa Shilawaduitabidi na magu tumualike ze comedi
Kweli, lazima yatakuja tokea. Watatamani wafanye rewind. Kwanza yule Ruto yule!Teh teh teh! Kwa sasa wanamponda lakini siku akiondoka ndiyo watajua uzuri wake...
Sio shilawadu mkuu?itabidi na magu tumualike ze comedi
kumbe n yy alishajaribu kuwa karibu na jamii ila alitakiwa apigiwe simu aka akina mama diamondYeye wa Shilawadu
mm nilijua yy ndo huwa anaandika saa hana kazi za officenYaani wewe ulijua ni kweli kwamba yale maneno ni ya Mugabe?