First Lady- 2016

First Lady- 2016

Watu mnapenda kuota mchana kweupe....

Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.

El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim
 
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....

Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.

El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim

mnajivunia goli la mkono hamna lolote.....mxiiiuuuuuu
 
attachment.php
 
Watu mnapenda kuota mchana kweupe....

Hatuwezi kuongozwa na chama kinachofuata matakwa ya baba mkwe na mkwe wake.
Hao watabaki kuwa wapinzan milele.

El hawezi kuja kuongoza nchi yoyote hapa dunian labda atakuja kuongoza huko kuzim
Chuki binafsi hizo!!! Utaumia sana!!!
 
mnajivunia goli la mkono hamna lolote.....mxiiiuuuuuu

goli la mkono wapi? Ukweli ni kwamba mnaonesha ushindan kwenye mitandao lakn mmesahau kuwa kuna mitaani, vijijini n.k.

Mbaya zaidi mmejiharibia yule mliyekuwa mnawita mwizi,jambaz na watz wakawaamin kwa kuanika uovu wake leo hii ndiyo Mungu mtu wenu ambaye mnamtegemea kuwaletea ushindi.
Hapo ndo mmejiharibia kabisa.

Tuonane oct
 
Chuki binafsi hizo!!! Utaumia sana!!!

kijana mm sina chuki ila naongea ukweli ambao upo.
Ila nyinyi nawaona wengi mnaongelea kiushabiki na sio ukweli uliopo
 
Unajua mechi ikiwa tight hata bao la mkono linashindikanaga!! hongera sana CHADEMA kukata mzizi wa fitna - hatimaye baada ya kuongoza taifa kwa miaka zaidi ya 50 - chali.

Siasa ni game ya makosa kama vile footbal, kosa moja tu - UMEKWISHA.
 
goli la mkono wapi? Ukweli ni kwamba mnaonesha ushindan kwenye mitandao lakn mmesahau kuwa kuna mitaani, vijijini n.k.

Mbaya zaidi mmejiharibia yule mliyekuwa mnawita mwizi,jambaz na watz wakawaamin kwa kuanika uovu wake leo hii ndiyo Mungu mtu wenu ambaye mnamtegemea kuwaletea ushindi.
Hapo ndo mmejiharibia kabisa.

Tuonane oct

We ndo umechelewa kweli...tuliopo mtandaoni tunaishi mbinguni??? Katibu mwenezi wako alishaona mwaka huu mbombo ngafu ndio maana akawazia hata goli la mkono we kiroboto tu unatokwa povu hapa.....kama jambazi mbona hamkumfunga?? mwaka huu mtaharisha sana
 
goli la mkono wapi? Ukweli ni kwamba mnaonesha ushindan kwenye mitandao lakn mmesahau kuwa kuna mitaani, vijijini n.k.

Mbaya zaidi mmejiharibia yule mliyekuwa mnawita mwizi,jambaz na watz wakawaamin kwa kuanika uovu wake leo hii ndiyo Mungu mtu wenu ambaye mnamtegemea kuwaletea ushindi.
Hapo ndo mmejiharibia kabisa.

Tuonane oct
Ni Novemba mkuu.
 
Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi fanya maamuzi sasa usiangalie mtu au chama sera na dira je inalikomboa taifa


Kapuku mimi
 
Back
Top Bottom