SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 5,193
- 8,009
First 11 ya Simba msimu wa 2024-2025 (Hizo xx ni wachezaji wapya wa maana wa kigeni):
Ayoub/Abeli
Israel
Zimbwe/xx
Kazi/xx
Che Malone
Sarr/Hamisi
Chasambi/Balua
Ngoma/Mzamiru
xx/Kanoute/Freddy
Kramo
Miquissone/Karabaka
Chezaji za kupewa mkono wa kwaheri kwa kuuzwa, kuisha mkataba au kwa kuvunjiwa mikataba yao:
Manula
Kennedy
Inonga
Ntibazonkiza
Chama
Jobe
Boko
Focus iwe kupata wachezaji wapya wanne tu wa maana wa nje (striker, beki wa kati, beki wa kushoto na kiungo mshambuliaji ambaye ni kurudisha usajili wa Kramo), waliobaki wawe wazawa (striker, beki wa kushoto, beki wa kati). Katika wazawa ukiacha striker, watupie jicho kali kule Zanzibar.
Che Malone atafutiwe mchezaji wa kutoka kwao Cameroon kuchukua nafasi ya Inonga, anaweza kucheza kwa ufanisi zaidi. Muunganiko na mawasiliano yake na Inonga kiwanjani hayakuwa mazuri kabisa.
Abeli apandishwe awe kipa chaguo la 2 chini ya Ayoub. Kapombe awe ana float kwenye nafasi mbalimbali ila awe anapewa mapumziko ili akipewa nafasi acheze kwa ufanisi zaidi.
Onana apewe muda zaidi kidogo. Onana na Kibu wapewe uangalizi maalumu wa kiufundi ili wacheze kwa ufanisi zaidi kupunguza madhaifu yao. Ikiwezekana Phiri kurudishwa basi Onana atolewe kwa mkopo.
Dirisha dogo yakifanyika maboresho madogo pale palipopelea, Simba itakuwa imekamilisha kikosi cha mataji kwa misimu 4 ijayo.
Ayoub/Abeli
Israel
Zimbwe/xx
Kazi/xx
Che Malone
Sarr/Hamisi
Chasambi/Balua
Ngoma/Mzamiru
xx/Kanoute/Freddy
Kramo
Miquissone/Karabaka
Chezaji za kupewa mkono wa kwaheri kwa kuuzwa, kuisha mkataba au kwa kuvunjiwa mikataba yao:
Manula
Kennedy
Inonga
Ntibazonkiza
Chama
Jobe
Boko
Focus iwe kupata wachezaji wapya wanne tu wa maana wa nje (striker, beki wa kati, beki wa kushoto na kiungo mshambuliaji ambaye ni kurudisha usajili wa Kramo), waliobaki wawe wazawa (striker, beki wa kushoto, beki wa kati). Katika wazawa ukiacha striker, watupie jicho kali kule Zanzibar.
Che Malone atafutiwe mchezaji wa kutoka kwao Cameroon kuchukua nafasi ya Inonga, anaweza kucheza kwa ufanisi zaidi. Muunganiko na mawasiliano yake na Inonga kiwanjani hayakuwa mazuri kabisa.
Abeli apandishwe awe kipa chaguo la 2 chini ya Ayoub. Kapombe awe ana float kwenye nafasi mbalimbali ila awe anapewa mapumziko ili akipewa nafasi acheze kwa ufanisi zaidi.
Onana apewe muda zaidi kidogo. Onana na Kibu wapewe uangalizi maalumu wa kiufundi ili wacheze kwa ufanisi zaidi kupunguza madhaifu yao. Ikiwezekana Phiri kurudishwa basi Onana atolewe kwa mkopo.
Dirisha dogo yakifanyika maboresho madogo pale palipopelea, Simba itakuwa imekamilisha kikosi cha mataji kwa misimu 4 ijayo.