Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Wakati wao huu, kila gazeti litajaa habari zao na jinsi walivyonona. Lakini mwisho wa msimu kukonda kunawasubiri, maana isingekuwa refa kuwaua Mbao...saa hivi kuna mtu angekuwa anaVEVEA mbaliWachezaji 25 kila mwaka wanajenga timu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app