First 11 ya Simba Fc Next season 2017/2018.

Naona kabehi zinaendelea. Hicho kikosi ni kwa ajili ya mechi za kimataifa na si vyura churani. Kama mpira wa bongo ungekuwa wa haki,kikosi hiki kinaweza kushindana tu na Hans maana naye anakikosi bora. Ila kama yule nshomile anarudi basi tutaendelea kuona madudu tu.
 
Naona kabehi zinaendelea. Hicho kikosi ni kwa ajili ya mechi za kimataifa na si vyura churani. Kama mpira wa bongo ungekuwa wa haki,kikosi hiki kinaweza kushindana tu na Hans maana naye anakikosi bora. Ila kama yule nshomile anarudi basi tutaendelea kuona madudu tu.
Naona kivuli chenu cha kutokujiamini kuchukua ubingwa bado kinawaandama. Kwa kifupi hicho kikosi ni cha kumfunga Yanga tuu hata kwa Kagera Sugar hamtoboi sembuse kimataifa. Halafu mwisho mwa msimu ubingwa unakwenda ulikozoea,kwa Yanga.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
12b6d49ee4bfa8a137f4ebf0a35ae898.jpg


Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.

Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.

Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.

Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.

Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
puuzi mtupu. Simba baada ya kuoba hawapati vikombe wakati wenzao wanapata viikombe kwa timu ileile ya wazeee basi simba nao wameamua waunde timu ya wazee - shame
 
Ndemla ananzia bench hapana simba mnakosea sana ndemla hapaswi kuanzia bench,acheni kusajili wazee
 
12b6d49ee4bfa8a137f4ebf0a35ae898.jpg


Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.

Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.

Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.

Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.

Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.

Huyo Okwi mmemalizana? Najua atataka hela kubwa kuliko ya Niyonzima.
 
Naona kabehi zinaendelea. Hicho kikosi ni kwa ajili ya mechi za kimataifa na si vyura churani. Kama mpira wa bongo ungekuwa wa haki,kikosi hiki kinaweza kushindana tu na Hans maana naye anakikosi bora. Ila kama yule nshomile anarudi basi tutaendelea kuona madudu tu.
Acha uwongo ndugu kwani kabla ya huyo unayemwita nshomile kuja, simba mlichukua ubingwa lini? Mnapenda ulalamishi kama watoto wa kambo! Muwe mnachagua viongozi wasomi na waelewa kama Yanga! Tena bora kikosi chenu cha mwaka huu kilikuwa bora kuliko hicho cha msimu ujao!
 
Back
Top Bottom