endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,109
- 1,452
Simba Sc Timu inayosadikika kua na Mashabiki wengi Afrika Mashariki hasa kutokana na Mafanikio yake imekua ikitumikiwa na Wachezaji wenye viwango vya hali ya juu
Ifuatayo ni orodha ya wachezaji waliowahi ama kupita au wapo mpaka sasa kwenye kikosi cha Mnyama huyu hatari pengine kuliko wanyama wote mwituni.
1.Juma Kaseja Juma
2.Said Swed Kusi
3.Ramadhani Wasso
4.Boniphace Pawasa
5.Victor Costa Nampoka Nyumba
6.Jonas Mkude
7.Mosses Odhiambo
8.Haruna Moshi "Boban"
9.Emanuel Gabriel
10.Athumani Machupa
11.Emanuel Okwi
Coach ni Patrick Phiri
Hicho ndo kikosi changu bora kabisa wadau.
Ifuatayo ni orodha ya wachezaji waliowahi ama kupita au wapo mpaka sasa kwenye kikosi cha Mnyama huyu hatari pengine kuliko wanyama wote mwituni.
1.Juma Kaseja Juma
2.Said Swed Kusi
3.Ramadhani Wasso
4.Boniphace Pawasa
5.Victor Costa Nampoka Nyumba
6.Jonas Mkude
7.Mosses Odhiambo
8.Haruna Moshi "Boban"
9.Emanuel Gabriel
10.Athumani Machupa
11.Emanuel Okwi
Coach ni Patrick Phiri
Hicho ndo kikosi changu bora kabisa wadau.