Fingerprint huisha muda wake?

Fingerprint huisha muda wake?

Ruwamangi

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2020
Posts
1,369
Reaction score
2,552
JF ni kisima cha maarifa na wataalam mbalimbali naomba kufahamu Alama za vidole kwenye mfumo wa usajili wa mashine ya kusajili Alama za vidole je hufika muda na alama hizo ku expire(kufutika) automatically kwenye mfumo?

Tumeona NIDA Kuna ku expire date kwa I'd kwamba baada ya miaka kumi tuta renew Card za NIDA.

Karibu WanaJf kwa elimu na maarifa zaidi
 
JF ni kisima cha maarifa na wataalam mbalimbali naomba kufahamu Alama za vidole kwenye mfumo wa usajili wa mashine ya kusajili Alama za vidole je hufika muda na alama hizo ku expare(kufutika) automatically kwenye mfumo?
tumeona Nida Kuna ku expare kwa I'd kwamba baada ya miaka kumi tuta renew Card za Nida. karibu WanaJf kwa elimu na maarifa zaidi
Zinatakiwa fingerprints zisizidi miezi 6, kwanza unaelewa kazi ya fingerprint ni nini?
 
vyema mkuu kwa sura sawa, je alama za vidole nao hue expire?
Unaelewa ni kwa nini unachukuliwa alama za vidole?

Tusipokuwa na uelewa wa vitu vidogo kama hivi basi Ccm itatawala milele.

Fingerprint kazi yake kubwa ni kutrack criminal records, Sasa kwa akili ya kawaida tu uchukuwe fingerprint mwaka 2020 halafu umefanya uhalifu mwaka 2022 kama hakuna expire period ya fingerprint utawatrace vipi criminals?
 
Unaelewa ni kwa nini unachukuliwa alama za vidole?

Tusipokuwa na uelewa wa vitu vidogo kama hivi basi Ccm itatawala milele.

Fingerprint kazi yake kubwa ni kutrack criminal records, Sasa kwa akili ya kawaida tu uchukuwe fingerprint mwaka 2020 halafu umefanya uhalifu mwaka 2022 kama hakuna expire period ya fingerprint utawatrace vipi criminals?
fafanua kwahiyo ina expire date?
 
Ikiwa sura zinafana miongoni mwa wanafamilia je, kwa zama hizi sura zinamata tena?
Issue ni finger print ndio imeulizwa sio sura.
Issue ni kutaka kujua kati ya vitambulisho walivyotoa vingapi viko active, na vingapi haviko active yaani wameshakufa.
Tanzania watu hawasajili vifo na vizazi.
Vifo vya watu wachache tu vinasajiliwa kwasababu ya issues za mirathi
Nadhani kadi zina-expire kwa sababu kwa huo muda, sura inakuwa ime-change kidogo, kwa hiyo wanataka sura ambayo ipo uptodate.
Kwa fingerprint sijui
 
Unaelewa ni kwa nini unachukuliwa alama za vidole?

Tusipokuwa na uelewa wa vitu vidogo kama hivi basi Ccm itatawala milele.

Fingerprint kazi yake kubwa ni kutrack criminal records, Sasa kwa akili ya kawaida tu uchukuwe fingerprint mwaka 2020 halafu umefanya uhalifu mwaka 2022 kama hakuna expire period ya fingerprint utawatrace vipi criminals?

Alama za videlo hazina expire date kwenye mfumo labda zifutwe au mfumo uharibike beyond repair
Sababu ya ku renew ni mabadiliko ya details, sura nk

Si sahihi sana kusema alama za vidole ni kwa ajili ya ku track criminals(ingawaje inarahisisha sana zoezi hilo)......... itoshe tu kusema alama za vidole ni utambulisho bora wa mtu katika karne hii ikiwemo na DNA pamoja na Dental formula

Siku hizi maofisini una sign in and out kwa alama za vidole
Huko mbeleni tutaacha kabisa kutumia cards, itakua ni mwendo wa alama za vidole tu
 
Alama za videlo hazina expire date kwenye mfumo labda zifutwe au mfumo uharibike beyond repair
Sababu ya ku renew ni mabadiliko ya details, sura nk

Si sahihi sana kusema alama za vidole ni kwa ajili ya ku track criminals(ingawaje inarahisisha sana zoezi hilo)......... itoshe tu kusema alama za vidole ni utambulisho bora wa mtu katika karne hii ikiwemo na DNA pamoja na Dental formula

Siku hizi maofisini una sign in and out kwa alama za vidole
Huko mbeleni tutaacha kabisa kutumia cards, itakua ni mwendo wa alama za vidole tu
Ukifanya alama za vidole leo makao mkuu ya Polisi kuna muda maalum wa hiyo certificate kuwa valid, hata kwenye balozi ambazo hawafanyi current fingerprints mwenyewe wakati wa kuomba viza huwa certificate clearance ya fingerprint inatakiwa usiwe ya zaidi ya miezi 6 nyuma, hata ukiomba Leseni ya kumiliki bunduki pia wanataka fingerprints ambazo si za muda mrefu nyuma, hapa naongelea ile certificate na siyo zile alama za vidole, point iko hapo kwamba kuna expire date lakini fingerprints ni zilezile, hapa unategemea zinahitajika kwa issue gani?
 
Unaelewa ni kwa nini unachukuliwa alama za vidole?

Tusipokuwa na uelewa wa vitu vidogo kama hivi basi Ccm itatawala milele.

Fingerprint kazi yake kubwa ni kutrack criminal records, Sasa kwa akili ya kawaida tu uchukuwe fingerprint mwaka 2020 halafu umefanya uhalifu mwaka 2022 kama hakuna expire period ya fingerprint utawatrace vipi criminals?
Mbwembwe nyingi halafu unashindwa kuelezea kikamilifu , kwa maelezo yako fingerprint zina expire !!
Kiuhalisia finger print ni forever. Or else criminals wangukuwa kwenye safe zone baada ya records ku expire
 
Unaelewa ni kwa nini unachukuliwa alama za vidole?

Tusipokuwa na uelewa wa vitu vidogo kama hivi basi Ccm itatawala milele.

Fingerprint kazi yake kubwa ni kutrack criminal records, Sasa kwa akili ya kawaida tu uchukuwe fingerprint mwaka 2020 halafu umefanya uhalifu mwaka 2022 kama hakuna expire period ya fingerprint utawatrace vipi criminals?
Uzi ukishaingia SIASA bhas kila la kheri wakuu🤧
 
Ukifanya alama za vidole leo makao mkuu ya Polisi kuna muda maalum wa hiyo certificate kuwa valid, hata kwenye balozi ambazo hawafanyi current fingerprints mwenyewe wakati wa kuomba viza huwa certificate clearance ya fingerprint inatakiwa usiwe ya zaidi ya miezi 6 nyuma, hata ukiomba Leseni ya kumiliki bunduki pia wanataka fingerprints ambazo si za muda mrefu nyuma, hapa naongelea ile certificate na siyo zile alama za vidole, point iko hapo kwamba kuna expire date lakini fingerprints ni zilezile, hapa unategemea zinahitajika kwa issue gani?
Hiyo unayosema ni fine tunning ya fingerprints , kwa ajili ya accuracy, yanaweza kutokea mabadiliko fulani labda kujikata kidonda n.k ambayo yatawezakufanya reading deviation kidogo ,
Botttom line ni kuwa finger prints once taken ni forrever
 
Back
Top Bottom