The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
ntakutafuta ila usipotokea kama siku ile itakua leo ndo mwisho.
Katibu Asprin hebu nukuu hii katika yale mambo yetu
ntakutafuta ila usipotokea kama siku ile itakua leo ndo mwisho.
Katibu Asprin hebu nukuu hii katika yale mambo yetu
Kwani Asprin naye ni katibu??? :confused2::confused2::confused2:
Super Star, mbona na wewe unafanana nao? Ni ndugu zako nini!?
Superstar pls nikabidhi huyo mwenye macho flani na tie,luks smart ananifaa sana.Natanguliza shukraniNi wadogo zangu wote hao. Una dada yako anatafuta mume? then u have got shem right here
Aisee, family potrait imetulia mwake kabisa.
Hey finest....although cjui which one is you...I mean in the picture....may I toss my proposal...WILL U MARRY ME?i will be the happiest woman in the world....ukinitosa,niunganishe kwa washkaji hao plzzzz
Aisee, family potrait imetulia mwake kabisa.
Jamaa wako verrry FAINEST kiBEAUTY na wameSMILIES kiSUPER STAR kweli kweli.
Mwambie finest akija town asisahau ile oda yangu ya choroko na dengu.
hahaha hahaha tell me not.Hizi Valuer hapo watu walikuwa wameishapiga valuer chupa kama sita hivi
Teh teh teh! Dada zangu wote wameolewa. Kama una picha ya dada yenu niwekee, naweza kuwa interested.Ni wadogo zangu wote hao. Una dada yako anatafuta mume? then u have got shem right here
wa katikati ndio the Finest you looking good:A S 112:
hahaha hahaha tell me not.
Ina maana yule wa kulia mwenye jicho nusu ndiye ameiutwika kuliko wote?
ntakutafuta ila usipotokea kama siku ile itakua leo ndo mwisho.