Kulitoa kwenye system labda kwenye kodi ya mapato kama ni gari ya biashara lakini motor vehicle haina msamahaNa jinsi zinavyochajiwa ni hivi ikishapita siku 28 tu toka tarehe ya kuexpire unachajiwa 25% mara moja tu namaanisha utakachochajiwa baada ya miezi miwili hakina tofauti na utakacho lipia baada ya miezi kumi, sema huko barabarani TRAFFIC utafute cha kuwabebea. Na utaratibu kama gari limepata shida na haliko njiani ama limeharibika au umeamua kulipaki utaratibu unaandika barua TRA wanalitoa kwenye system basi
Umepewa feki hiyo, hakuna kitu kama hicho kwani ukivusha mwezi lazuma upigwe fine hakuna mjadalaMi nimelipa jana baada ya kuchelewesha kwa takriban miezi minne, sijapigwa faini yoyote
Wizi mkubwaNimetoka kulipa fine laki saba na themanini toka Sept 2012-2016 nimejuta wakati gari ni cc1500 nilitegemea 150000 mara nne cha ajabu kumbe inaonyesha fire unalipia kila mwaka maana nimeambiwa fine huwa moja tu haijirudii tatizo kwanini fire hawatupi Hizo fire extinguisher kama umelipia miaka yote hiyo
Sure kama ukipaki gari lako haulipi haya makitu ila ukilitumia ndio unalipia tena hii ndio italeta mapato mengi zaidi ya haya ambayo hata ukiangalia magari mengi kwenye parking hata ya ofisini kwako tu motor vehicle nyingi zime expire coz wengi hatulipi kwakuwa mostly tuko barabarani asubuhi na jioni so hata usumbufu sio kivile labda uotewe na kwa weekend wengine ile sticker iliyoisha tulikuwa hatuiweki so hata traffic akiniotea na malizana nae kibingwa labda ukutane na wale wanaomulika na torchSolution ya hii kitu ni kuiingiza kwenye mafuta ili mapato yaongezeke badala ya kutegemea fine
Sure kama ukipaki gari lako haulipi haya makitu ila ukilitumia ndio unalipia tena hii ndio italeta mapato mengi zaidi ya haya ambayo hata ukiangalia magari mengi kwenye parking hata ya ofisini kwako tu motor vehicle nyingi zime expire coz wengi hatulipi kwakuwa mostly tuko barabarani asubuhi na jioni so hata usumbufu sio kivile labda uotewe na kwa weekend wengine ile sticker iliyoisha tulikuwa hatuiweki so hata traffic akiniotea na malizana nae kibingwa labda ukutane na wale wanaomulika na torch
Nimelipia tigo pesa kwa reference namba niliyopewa na system za traUmepewa feki hiyo, hakuna kitu kama hicho kwani ukivusha mwezi lazuma upigwe fine hakuna mjadala
Asante, naomba kujua hii penalt inapatikanaje??? Mimi nilichelewa Miezi miwili kasoro, nikapigwa hiyo fine.Kwa wanaolipia 230000/= penalt utalipia 287500/=. na kwa wanaolipia 290000/= na penalt utalipa 362500/=