Fine ya kuchelewesha road licence ipo vipi

Fine ya kuchelewesha road licence ipo vipi

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,481
Reaction score
8,582
Heshima kwenu brothers and sisters

Wakuu gharama za fine za Road licence maarufu kama motovehicle ikicheleweshwa kulipwa kama miezi miwili ipo vipi..

Gari lilipata ajali halijatumika kama 3 months so ndo limekamilika imebaki road licence na iliisha toka November last year..kawaida ya hiyo Gari huwa inalipiwa LAK 2 kwa mwaka ikilipwa kwa wakati.

Sasa itacost kiasi gani kwa miezi hii iliyocheleweshwa?
 
Heshima kwenu brothers and sisters

Wakuu gharama za fine za Road licence maarufu kama motovehicle ikicheleweshwa kulipwa kama miezi miwili ipo vipi..

Gari lilipata ajali halijatumika kama 3 months so ndo limekamilika imebaki road licence na iliisha toka November last year..kawaida ya hiyo Gari huwa inalipiwa LAK 2 kwa mwaka ikilipwa kwa wakati.

Sasa itacost kiasi gani kwa miezi hii iliyocheleweshwa?

je ajali iliripotiwa polisi? Kama ndivyo nenda polisi kaombe barua hupaswi kutozwa faini
 
Penalty ni 25% ukichelewa zaidi ya siku 30. Kwa wewe (laki 2) utalipa sh. 50,000 hata kama utachelewa miaka 3. Kalipe kodi kwa maendeleo ya taifa. Usisahau kuongeza za fire extinguisher kama Tzs 40,000/=.
 
Penalty ni 25% ukichelewa zaidi ya siku 30. Kwa wewe (laki 2) utalipa sh. 50,000 hata kama utachelewa miaka 3. Kalipe kodi kwa maendeleo ya taifa. Usisahau kuongeza za fire extinguisher kama Tzs 40,000/=.

So ukichelewa siku zaidi ya 30 faini ni buku 50? Inakuwaje kwa mtu aliyechelewa 6 months?
 
Very nice Idea..... hata mimi kuna kamkokoteni kangu nimekumbuka sijalipia hii kitu.... I have to to so....
 
Iwapo utachelewa kulipa Motor vehicle Annual fee kwa kipindi cha siku 30 baada ya expire date utatozwa riba ya 25% on the principal amount . Tambua kuwa ku renew Annual fee ya gari ni kila mwaka. Iwapo gari imeharibika hakuna msamaha unaotolewa labda uamue kuitoa katika ujasiri (De-registration).

Nakupongeza kwa kutambua wajibu wako wa kulipa kodi
 
So ukichelewa siku zaidi ya 30 faini ni buku 50? Inakuwaje kwa mtu aliyechelewa 6 months?

Umeelezwa hapo juu kwamba faini ni 25% hata ukichelewa miaka mitatu. Soma comments zote ndipo uulize tena mkuu.
kwa kifupi faini ndo hiyo,whether gari ipo gereji au home,ikipita tarehe ya kulipia 'grace period' ni 30 days,there after unalipa na additional 25% fine.
 
Iwapo utachelewa kulipa Motor vehicle Annual fee kwa kipindi cha siku 30 baada ya expire date utatozwa riba ya 25% on the principal amount . Tambua kuwa ku renew Annual fee ya gari ni kila mwaka. Iwapo gari imeharibika hakuna msamaha unaotolewa labda uamue kuitoa katika ujasiri (De-registration).

Nakupongeza kwa kutambua wajibu wako wa kulipa kodi

Mkuu, asante kwa kutuelimisha. Hili jambo watu wengi hawalifahamu na polisi hutumia nafasi hii kuwababaisha wamiliki wa magari hasa akina "dada" na kuchukua chochote. Kwa maneno mengine ni kuwa hupaswi kuchukuliwa hatua za kisheria na askali wa usalama barabarani kama motor vehicle license yako ime-expire lakini bado siku 30 hazijapita toka ime-expire. Au siyo?
 
mimi niliibiwa gari nikaipata baada ya miaka miwili lakini pamoja na riport za police nililazimishwa kulipia ya miaka yote miwili.
 
ie, Fine ni 25% kwa mwaka. Kwa cc ya tzs 200,000 utalipa fine ya tzs 50,000. Hata kama utalipa baada ya miezi 10 utalipa tzs 50,000. Adhabu ya fine huanza kuhesabiwa ukichelewa kuanzia 30 days. R/Licence ni computerized na hivyo huunganisha kuanzia ilipoishia iliyoisha muda wake.
 
Je ni kweli kuwa hutakiwi kusumbuliwa na polisi ktk kipindi hicho cha siku 30 tangu road licence/motor vehicle iishe?
 
Uwe na document kwamba umeshalipia
No namaanisha mfano road licence imeisha tarehe 25/05/2016 halafu mimi nategemea kupata pesa ya kulipia tarehe 19/06/2016. Je ktk kipindi hichi cha kuanzia tarehe 26/05/2016 mpaka tarehe 19 May traffic ana uhalali wa kunipiga faini???
 
Mi nimelipa jana baada ya kuchelewesha kwa takriban miezi minne, sijapigwa faini yoyote
 
Penalties zipo kama ifuatavyo gari zenye CC 1 - 1500 ni 170000/= lkn ukichelewa zikapita siku 28 utalipia 215500
 
Kwa wanaolipia 230000/= penalt utalipia 287500/=. na kwa wanaolipia 290000/= na penalt utalipa 362500/=
 
Na jinsi zinavyochajiwa ni hivi ikishapita siku 28 tu toka tarehe ya kuexpire unachajiwa 25% mara moja tu namaanisha utakachochajiwa baada ya miezi miwili hakina tofauti na utakacho lipia baada ya miezi kumi, sema huko barabarani TRAFFIC utafute cha kuwabebea. Na utaratibu kama gari limepata shida na haliko njiani ama limeharibika au umeamua kulipaki utaratibu unaandika barua TRA wanalitoa kwenye system basi
 
Nimetoka kulipa fine laki saba na themanini toka Sept 2012-2016 nimejuta wakati gari ni cc1500 nilitegemea 150000 mara nne cha ajabu kumbe inaonyesha fire unalipia kila mwaka maana nimeambiwa fine huwa moja tu haijirudii tatizo kwanini fire hawatupi Hizo fire extinguisher kama umelipia miaka yote hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom