Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,008
- 453,986
Khaaaaa
Maini mama ila ntumie ninunue huku huku
Hujaancha tuu ujanja wako..?
Maini mama ila ntumie ninunue huku huku
Hujaancha tuu ujanja wako..?
Umeamua kuja kunitangaza we dadaWee!huyo shunie anaelalama baridi Leo hatoki!we Fanya kwa airtel tu mambo yaishee!!!
Kheee babe jamanii si ulinambia weekend hii unaenda madagascar 😂airport ya nyokwe na mimi nataka nyama kwa mafuru
Kheee babe jamanii si ulinambia weekend hii unaenda madagascar
You're so lucky unawashkaji wanaoeleweka, kwa sikuhizi ni rare sanaMie nilivyomaliza chuo, nyumbani niliondoka na kitanda na godoro tu. Hata hela ya code sikuwa nayo. Kuna mshkaji alikuwa na kodi ya miezi 6 ndio akalipa vyumba viwili miezi mitatu. So nilikuwa na miezi miwili tu ya kutake off ili niweze kujichanga na kupata hela ya kulipia miezi mitatu vyumba viwili. Mwanzo huwa ni mgumu but ukijipanga fresh, utatoboa.
Yeah .njifurahisha tu mkuu...vip umekwazwa?
Jali maisha yako.Basi mizaha mingine sio mizuri. Achia Mungu afanye hatima ya maisha ya mtoa mada, sio wewe au mtu mwingine yeyote yule.
Ndoa tena?Haraka ya nini?,fanya maisha kijana,hiyo senti kichwa kikitulia inaweza kukutoa kimaisha.Acha niweke mambo sawa nijipange na ndoa
Utadhani asipooa anahesabiwa dhambi..kumbr hajui anajiongezea mizigo mizito...mitoto ya namna hii unachapa fimbo za matakoNdoa tena?Haraka ya nini?,fanya maisha kijana,hiyo senti kichwa kikitulia inaweza kukutoa kimaisha.
Mkuu nadhani hiyo 180000 ni kodi ya miezi yote sita kwa maana kila mwezi shilingi 30000.Ona, dingi kampa 800k, msamaria kajitolea 180k *6months. Ñingetafuta chumba cha 80k then 100kx6 + 800k ningekuwa na 1,400k.
Ningeanzia hapo...kuna nyakati mambo yakiwa magumu unashuka chini uanze upya tu.
Kwann umtabirie hayo ?We huwezi kuja kuoa na kustick na ndoa yako...kama unayoandika hapa yana ukweli....huna akili ya kijituma..ndoa itakushinda mapema...labda ukitaka istick oa mwanamke mpambanaji sana..ukioa mkr anayesubiria kuachiwa hela kila siku ndoa chali...
Akishindwa dar wap tena ataweza"ONDOKA DAR" huu ndio ushauri wangu la sivyo "HAUTOBOI" huu ni mtazamo wangu.