Finally naanza upya maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni nina laki 8 tuu

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Nilikuwa ninakaa kwa baba mkubwa sasa nimeondoka nimerudi ktk maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni Nina laki 8 ambayo amenipa kama hela ya kuanzia maisha

Na kuhusu hela ya kodi nashukuru kuna mwana JF amejitolea kunilipia chumba laki na 80 miezi sita chumba kipo Tabata mawenzi

Hivyo naombeni maombi yenu wana JF nimeanza upya maisha, kama kuna ushauri au maoni naombeni mnisaidie nimeanza upya safari.
 
Nilikuwa ninakaa kwa baba mkubwa sasa nimeondoka nimerudi ktk maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni Nina laki 8 ambayo amenipa kama hela ya kuanzia maisha

Na kuhusu hela ya kodi nashukuru kuna mwana JF amejitolea kunilipia chumba laki na 80 miezi sita chumba kipo Tabata mawenzi

Hivyo naombeni maombi yenu wana JF nimeanza upya maisha, kama kuna ushauri au maoni naombeni mnisaidie nimeanza upya safari.
Unalialia sana, utaolewa Dar hii.

Hii ni aibu kwa Mwanamume timamu.
 
Kusema ukweri wa nafsi yangu naona kama itaenda kukushinda!!
Sisemei vibaya hapana ila mala nyingi uchungu wa kitu anaujua anekitafuta!
UMEPEWA LAKI8
BADO UMEPEWA NA KODI!
Mkuu hapo unahitaji zaidi ya nidhamu ili utoboe
Ione hiyo pesa kama ni a pointof no return
Yaani ione kama dhahabu hivi
Itumie kwa mambo ya msingi na mambo hayo yawe yakuzalishia
Kwasababu sijajua kama una kazi au lah!
 
Kusema ukweri wa nafsi yangu naona kama itaenda kukushinda!!
Sisemei vibaya hapana ila mala nyingi uchungu wa kitu anaujua anekitafuta!
UMEPEWA LAKI8
BADO UMEPEWA NA KODI!
Mkuu hapo unahitaji zaidi ya nidhamu ili utoboe
Ione hiyo pesa kama ni a pointof no return
Yaani ione kama dhahabu hivi
Itumie kwa mambo ya msingi na mambo hayo yawe yakuzalishia
Kwasababu sijajua kama una kazi au lah!
Hawezi huyo...ila angekuwa ni ke tena awe ana majukumu angepaa nayo mdogo mdogo...! Wanawake wana akili fulani za ajabu sana ...
 
Nilikuwa ninakaa kwa baba mkubwa sasa nimeondoka nimerudi ktk maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni Nina laki 8 ambayo amenipa kama hela ya kuanzia maisha

Na kuhusu hela ya kodi nashukuru kuna mwana JF amejitolea kunilipia chumba laki na 80 miezi sita chumba kipo Tabata mawenzi

Hivyo naombeni maombi yenu wana JF nimeanza upya maisha, kama kuna ushauri au maoni naombeni mnisaidie nimeanza upya safari.

Hongera son kwa kuanza tena maisha, na hongera kwa kuwa na baba mkubwa mwenye busara... kukuambia uondoke kwake na kukupa msaada ni funzo kubwa kwako usichukulie powa

Ije mvua lije jua usirudi tena kuishi ndani ya nyumba yenye watawala wake

Labda uwe mgonjwa wa kuuguzwa
 
Nilikuwa ninakaa kwa baba mkubwa sasa nimeondoka nimerudi ktk maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni Nina laki 8 ambayo amenipa kama hela ya kuanzia maisha

Na kuhusu hela ya kodi nashukuru kuna mwana JF amejitolea kunilipia chumba laki na 80 miezi sita chumba kipo Tabata mawenzi

Hivyo naombeni maombi yenu wana JF nimeanza upya maisha, kama kuna ushauri au maoni naombeni mnisaidie nimeanza upya safari.
Oyaaa

Maisha ni marathon ya mbio ndefu, achana na hizi kilometer 42...

Tulia. Jipange. Andika Blue Print ya maisha ya ndoto zako. Ndoto yako ikitimia watu watakuandika humu JF.
 
Nilikuwa ninakaa kwa baba mkubwa sasa nimeondoka nimerudi ktk maisha ya kujitegemea nikiwa mfukoni Nina laki 8 ambayo amenipa kama hela ya kuanzia maisha

Na kuhusu hela ya kodi nashukuru kuna mwana JF amejitolea kunilipia chumba laki na 80 miezi sita chumba kipo Tabata mawenzi

Hivyo naombeni maombi yenu wana JF nimeanza upya maisha, kama kuna ushauri au maoni naombeni mnisaidie nimeanza upya safari.

Pole na hongera.
Hiyo laki nane si hela nyingi.

1: Usikimbile suala la kuoa

2: Nusu ya hiyo hela ichukulie kama mtaji. Angalia kwa eneo ulilopo, unaweza kufanya nini kikakuingizia pesa kidogokidogo. Jifunze kwa yeyote anaefanya vizuri. Weka mtaji wako nusu 200,000/=, wakati hiyo nyingine 200, 000/= ukiangalia mwenendo wa kazi yako. Ukiona inakwenda vyema, utaongeza mtaji kwa kadri.

3: Hiyo 400,000/=, 150,000/= nunua mahitaji mhimu ya maisha. Hasa chakula, luku na maji kama ni ya kulipia ili vitoshe kwa miezi mitatu hata minne. 50,000/= vitu vidogovidogo utakavyohitaji kwa kila siku.
200,000/= iweke kama akiba yako. Utaipunguza pale ambapo kuna suala la muhimu kweli.

4: Kuwa na nidhamu ya matumizi ya hela uliyonayo kama vile ukijua kuna siku ngumu zinakuja mbele. Nunua kitu ambacho ni muhimu na kinahitajika kweli kwenye maisha yako.

5: Weka kumbukumbu ya kila unachokifanya kwa pesa yako.

6: Ukipita kwa kiasi humo, kufeli au kufanikiwa kwako hautaulaumu sana utendaji wako binafsi.

7: Tafakali kwa kina na tahadhali kwa kila utapohitaji kutumia hela yako.
 
Kusema ukweri wa nafsi yangu naona kama itaenda kukushinda!!
Sisemei vibaya hapana ila mala nyingi uchungu wa kitu anaujua anekitafuta!
UMEPEWA LAKI8
BADO UMEPEWA NA KODI!
Mkuu hapo unahitaji zaidi ya nidhamu ili utoboe
Ione hiyo pesa kama ni a pointof no return
Yaani ione kama dhahabu hivi
Itumie kwa mambo ya msingi na mambo hayo yawe yakuzalishia
Kwasababu sijajua kama una kazi au lah!
Awe na kazi asiwe na kazi kitendo cha kupewa 8kilos kwa mtu anaejitambua anatoboa,but I can see hajazoea huyu kaka maisha ya kujitafutia kazoea kupewa kila kitu bamkubwa anamfunza maisha anaona anaonewa loooh!!!
Kuna watu wametoka home kwao hawana senti Leo wako mbaali.
Dogo ajipange sana
 
Back
Top Bottom