Finally, I'm that auntie from dad's side!

Ila shangazi yako amejua kunichekesha😂😂

Sema huwezi jua aliona nini Kwa huyo binti Hadi aliingilia Kati kukuepusha nae
🤣🤣🤣 , Siyo poa .

Alikuwa anakuja hadi Ofisini ..

"Naitwa mama Fulani nimefanya kazi pale .. .. Sasa hivi ni mstaafu ... Namuulizia mwanangu Fulani ... 🤣🤣...

Shangazi kunyweni hata soda jamani ... Yeye ndo katutembelea alafu anatupa ofa .. 🤣🤣🤣 .....

Kwanza this weekend wacha nimtembelee nimjulie Hali
 
😂 😂😂😂,
Mtembelee kwakweli mkapige na story
 
Hongera kupata kitotoo.

Kivulana au kisichana?

Hizo habari za shangazi mchawi kwetu hazipo.
 
Ukiwa na hela wala hautaitwa shangazi, utaitwa Aunt na utapendwa sana. Kila siku atataka kuja kwa Aujt Lee.
Ila ukiwa huna hela jiandae kuwa shangazi lee ana roho mbaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…