Finally Huawei E303 unlocked

Finally Huawei E303 unlocked

kaka mkubwa nimefuata process zote ku unlock this modem, bt kunasehem nakwama... inafika sehem inaandika port searching failed(kwny ku update airtel film), nimejalibu ku2mia pc nyingine bt the same prob arise.. what should i do?
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii



Kimox
the Instructor

Thanks!!



Shukrani kwa taarifa yako. Kuna mengi ya mbinu inapatikana kwa kufungua e303 huawei .Lakini i wameamua kufungua code mbinu. i got code kufungua kutoka kwenye tovuti hii Wickedunlock.com kisha unlocked e303 yangu huawei kwa urahisi.
 
kaka mkubwa nimefuata process zote ku unlock this modem, bt kunasehem nakwama... inafika sehem inaandika port searching failed(kwny ku update airtel film), nimejalibu ku2mia pc nyingine bt the same prob arise.. what should i do?

modem yako itakuwa yenye firmwae tofauti, nadhani itakuwa E303H ambayo njia yake ni tofauti kidogo
 
modem yako itakuwa yenye firmwae tofauti, nadhani itakuwa E303H ambayo njia yake ni tofauti kidogo

mkuu mi nna E303 ya tgo hapa bt katiika hii step ya pili ikimaliza inaleta hii error msg Capture.PNG
 
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii



Kimox
the Instructor

Thanks!!

Mimi nimelizwa na ebay actually sio kosa lao maana nilinunua simu oline ya Iphone 4 nimeletewa mpaka hapa nilipo kwa USPS shida ni kuwa sikuelewa maana ya VERISON kube hawa jamaa ni kama vodacom ila tofauti yao ni kuwa wao simu zao hazina sim card kabisa nimetafuta slot au tray hakuna nika gooogle nikafhamishwa kuwa verison hawana sim kadi... sasa nifanyeje mnyamwezi mie.. nsha lizwa hivo any help?
 
Mkuu mi nna huawei modem ya Mobile Brodband Model EC122 CDMA1X EVDO
Vipi? iNawezekana kufunguliwa?


Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii



Kimox
the Instructor

Thanks!!
 
Kimox Kimokole ninavyofanya hayo yote naweka line kwenye moderm ya mtandao gani au siweki line kaisa,
thanks
 
Last edited by a moderator:
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.

Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.

Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB

UPDATES:

Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana

Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)

Jinsi ya kufanya kwa E303

1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa

2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.

3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code

4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version

NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.

Dondosha THANKS au Like kama imekubamba

Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload
on 4shared


Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii



Kimox
the Instructor

Thanks!!
kiboko dakika tano tu job done asante sana brother saivi nakula kitu cha lain zote.
 
Wakuu hii modem ya voda model k3772-z ndio imeshindikana kuunlock
Maana kila nikiulizia sipati majibu
 
mimi ni E3131 IMEI862733010035593 mkuu nielekeze niweze tumia chip yeyote ile
 
tafuta fundi simu. mwambie akuflashie ili aichakachue. ila asikutoze zaidi ya buku kumi.

By the way. Hivi hizi software wanazotumia mafundi ku-flashia simu zinaitwaje. na zinapatikanajee? I hope wanapata mitandaoni. who knows please.
 
Nani anaweza ku unlock modem ya sasatel jaman, mm ninayo hapa imenidodea, situmiagi ipo tu
 
Back
Top Bottom