July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii
Kimox the Instructor
Thanks!!
Shukrani kwa taarifa yako. Kuna mengi ya mbinu inapatikana kwa kufungua e303 huawei .Lakini i wameamua kufungua code mbinu. i got code kufungua kutoka kwenye tovuti hii Wickedunlock.com kisha unlocked e303 yangu huawei kwa urahisi.
kaka mkubwa nimefuata process zote ku unlock this modem, bt kunasehem nakwama... inafika sehem inaandika port searching failed(kwny ku update airtel film), nimejalibu ku2mia pc nyingine bt the same prob arise.. what should i do?
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii
Kimox the Instructor
Thanks!!
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii
Kimox the Instructor
Thanks!!
kiboko dakika tano tu job done asante sana brother saivi nakula kitu cha lain zote.Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii
Kimox the Instructor
Thanks!!
tafuta fundi simu. mwambie akuflashie ili aichakachue. ila asikutoze zaidi ya buku kumi.
Mkuu nami natumia huawei moderm ya vodacom e303s-2Unatumia dc -****- version gan? They say dc unlocker hii ina unlock modem yako
dc-unlocker.2.client.1.00.0664.by.avinash.gaikwad.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download
sasatel ni cdma huwezi tumia na hawa kina tigo na voda hata kama utai unlockNani anaweza ku unlock modem ya sasatel jaman, mm ninayo hapa imenidodea, situmiagi ipo tu