Jaribu hapaumeeahtumia HIlink ww??? nivema ungekua umeiona ndo unijibu..... dashboard updater na firmware updater znatumia COM ports kufanya kaz ... hz HIlink hazitumii kitu hyo... dashboard yake inafunguka kama tab ya browser..
katika ku google nlifanikiwa kupata adress moja hv ukiipaste driver znajiinstall still pc ilishndwa kusoma Moderm ipo com port gan.... firmware nnayo tayar kasheshe n jins ya kuiweka
Mkuu tupe report, PC imepona utupe ujanja
Wadau naombeni msaada jinsi ya ku-unlock hii modem hua haisomi port nadhani ina security kubwa sana.
Hii kitu mbona inapiga mzigo mkuu, download dashboard yake original from the internet achana na ile inayokuja kwenye memory ya modem ambayo iko modified kidogo na voda, then chukua na firmware upgrade yake kwenye google. Upgrade hiyo kitu, mbona inasomeka au machine yako imeshindwa vipi kumdetect jamaa! nilipiga moja model hii ikaitika bila hata shida
mkuu hebu nisaidie link yake, hii ipo tofauti sana na zile common za e303
Mkuu em chukua hii link ndiyo niliyopitiapitia nikaona jinsi ya kuiweka into modem mode ili uone port yake kwa urahisi japo haielezei jinsi ya kuichakachua, ila ukishapata port obviously kuichakachua ni njia ya kawaida kwa kufanya update ya firmware tu.... Hii link itakupa maelezo ya kinamkuu hebu nisaidie link yake, hii ipo tofauti sana na zile common za e303
Mkuu em chukua hii link ndiyo niliyopitiapitia nikaona jinsi ya kuiweka into modem mode ili uone port yake kwa urahisi japo haielezei jinsi ya kuichakachua, ila ukishapata port obviously kuichakachua ni njia ya kawaida kwa kufanya update ya firmware tu.... Hii link itakupa maelezo ya kina
Huawei HiLink modems (E303, E3131, etc.) - Page 2
nashukuru kaka ngoja niingie mzigoni nitakupa feedback
kama alivyokueleza mr. Dreson4 unaweza ifanya isome port kwanza afu baada ya hapo unachange firmware
https://docs.google.com/document/d/1nNuJcwOinQPwnUt9wU_MmL0rARWmK_AJozvQG-FQmfQ/edit?usp=sharing
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/496274-msaada-huawei-e303s-02-hilink.html
Mkuu naona wabongo wamesimama sana siku hizi, hiyo hadi ishatengenezewa instructions zimetupwa kwenye net...
Bado tu sasa kutengeneza software za kututambulisha duniani humu
Huawei E303 Hapa: https://www.jamiiforums.com/tech-ga...-ya-kuflash-modem-za-vodacom-huawei-e303.htmlWana jamii wenzangu naombeni msaada wa ku unlock modem ya tigo e303...
Thanks wakuu its works, nimefanikiwa ku- unlock. Nashukuru kwa ushirikiano.thanksssssssssssssssssssss.
kama alivyokueleza mr. Dreson4 unaweza ifanya isome port kwanza afu baada ya hapo unachange firmware
https://docs.google.com/document/d/1nNuJcwOinQPwnUt9wU_MmL0rARWmK_AJozvQG-FQmfQ/edit?usp=sharing
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/496274-msaada-huawei-e303s-02-hilink.html
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona.
Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock
halafu nika-update Dashboard.
Sasa nakula line zote na speed safiiii. Modem hii ina uwezo wa 7.2MB
UPDATES:
Naona PM zimekuwa nyingi ngoja niweke hapa kila mmoja
afaidi uhuru wa Kusurf kwa modem ya nini kujibanabana
Mkuu download kwanza FILE HILI (link ni yangu kwenye 4shared)
Jinsi ya kufanya kwa E303
1. Pata kwanza Unlock Code na Flash Code ya Modem yako E303 kwa kutumia IMEI yako hapa
2. Kisha Install software ya Modem yako kwa software iliyomo sasa hivi ndani ya modem kama bado hujainstall.
3. Update firmware yako kwa kuinstall Airtel Default Firmware (haiko locked ipo ndani ya rar. folder ulilodownload), hapa utahitaji kuingiza Flash Code
4. Baada ya hapo ingiza E303C ku-update dashboard yako kwenda new version
NB: usisahau ku-unlock baada tu ya ku-update firmware kwa sababu itajilock tena.
Dondosha THANKS au Like kama imekubamba
Tafadhali usifanye kwa biashara, its my upload on 4shared
Kwa wale wenye Modem za Vodacom K3570-Z au K3571-Z tumia njia hii
Kimox the Instructor
Thanks!!