Duh, inatisha hiyo. Ndo maana akina Commanche murutongore MUKAMASIMBA Koba mchambawima1 wanashambulia watu humu ovyo ovyo wakidhani ni FDRL, interahamwe.
Mi huwa najiuliza kwanini jamaa wanakuwa na hisia kali namna hiyo? kumbe wanajua kilichofanyika ni kibaya.
Cha ajabu sijasikia hata siku moja humu JF watu wanajitokeza na kusema Mi ni mhutu niko ukimbizini. Sijui wamepotelea wapi?
We mbona kila siku unaishabikia marekani? hizo ni propaganda za kagame. Bunge lile ni geresha tu. Akiamua hakuna hata mbuge mmoja anayeweza kupinga.
Kila mara unashabikia mareakni marekani... leo unamtaja mbabe Mugabe?? du miujiza.
Mugabe ndo rais bora kuliko wote hapa Africa. Kagame ndo rais boya kuliko wote hapa Afrika. Habari ndo hiyo.
Jiulize kwanza mwenyewe kwa nini unamchukia sana kagame? Na kwa nini unaichukia marekani?
Najua hapa tz akiamua kikwete bunge haliwezi kupinga na ilikuwa akiamua nyerere bunge haliwezi batilisha, lakin uhalali wa kisheria uko palepale bunge ndo chombo cha uwakilishi, usipopenda maamuzi ya bunge imekula kwako make hata mahakama yenyewe haiingilii maamuzi ya bunge sasa itakuja kuwa wewe?!!
Muda wote huo...lazima wamepita kimya kimya...lol
Duh, inatisha hiyo. Ndo maana akina Commanche murutongore MUKAMASIMBA Koba mchambawima1 wanashambulia watu humu ovyo ovyo wakidhani ni FDRL, interahamwe.
Mi huwa najiuliza kwanini jamaa wanakuwa na hisia kali namna hiyo? kumbe wanajua kilichofanyika ni kibaya.
Cha ajabu sijasikia hata siku moja humu JF watu wanajitokeza na kusema Mi ni mhutu niko ukimbizini. Sijui wamepotelea wapi?
Nadhani hujielewi, bunge ndo limeamua hivyo na ni bunge la rwanda kwa ajili ya warwanda sasa kagame anaingiaje? Na wewe ni nani kuponda maamuzi ya warwanda kwa ajili yao? Hivi katika nchi kunamaamuzi ambayo yanaminika kama ya bunge la nchi? Angeamua rais kidogo ingekuwepo hoja lakin sasa limeamua bunge hapo hoja ni ipi sasa? Nakutolea mfano, kumekuwa na maamuzi ambayo wakuu wa nchi wamepata kufanya mfano mzuri US&UK kupeleka majeshi iraq hilo suala lilipelekea tony blair kuhojiwa kwa masaa kadhaa alipotoka madarakani lakini hivi majuzi bunge la uingereza limeridhia majeshi yao yakapambane IS na hiyo imeepusha malalamiko na usitegemee cameron kulaumiwa sasa na hata baadae kwa jambo hilo, sasa iweje wewe umlaumu kagame kwa maamuzi ya bunge, unahoji maamuzi bunge? Basi huwezi kusadiki maamuzi ya chombo chochote.
Patrick, unadhani unaweza ku wa reason hao wajinga? they are blinded by hate and Genocide ideology, huwezi ukawareason wakakuelewa. They were defeated militarily and are scattered all over, most of them are in DRC Jungle, but recently their number in Tanzania has been increasing thx to Gen. Bigaruka's Plan facilitated by the Late spy Master. So ukitaka kuwaelimisha inabidi ufanye kazi kwelikweli manake ni akina hambiriki. Wako very Busy wameanzisha Front nyingine ya Key board baada ya sound defeat militarily. Utawakuta humu wanaanzisha topic chungumzima, kila baada ya masaa macheche utakuta Topic mpya ya kumponda Kagame, ya kuponda Watutsi iri mradi wako busy kweli. Mfano humu ndani ya JF Int. Chukua page ya kwanza hadi ya kumi hesabu Topic za namna hiyo, utashangaa nyingine ni kujirudiarudia tu iri mradi wenyewe wanajisikia kama vire wako vitani na wanamshambulia adui yao mkubwa Kagama au Mtusi. but the Guy as he said doesnt give a damn he is busy developing his people while here the likes of JMali, Justdoitnow,Ngongo,Rushasha etc are obsessed with their foolish hate. So an advise " Dont Argue with fools they will drag you down to their level and then beat you with experience"
I think kulaumu UN na wazungu ni upumbavu. Even Tanzanians knew about Kagame's plan to shoot down presidential plane and the genocide and they kept quiet.
If Kagame could only shutter the genocide ideology and stop infusing fear in his people hap atakuwa salama.
I support Kagame but i dnt support the killings of innocent rwandese either hutu or tutsi.
Kagame need to be the instrumental for peace the icon and grain for the future of rwanda nation.He must understand that he will not finish all his enemies.
Bbc can talk all they want here but no one is perfect. I would do the same if they tried to kill me.
Kagame if you listening. Get rid of genocide ideologies. It will back fire you.
Haiko youtube iko Vimeo mkubwa nyumba kubwa unajua siku siku hizi youtube wana mambo ya kijinga ya kuondoa baadhi ya video kwa maslahi yao
Dahl! Nimetoka kumaliza kuitazama. Mimi nawauliza wanajamv wenzangu hiv uchaguz rwanda ukiwa wa huru na haki kweli mtusi ataweza kutawala rwanda
Patrick, unadhani unaweza ku wa reason hao wajinga? they are blinded by hate and Genocide ideology, huwezi ukawareason wakakuelewa. They were defeated militarily and are scattered all over, most of them are in DRC Jungle, but recently their number in Tanzania has been increasing thx to Gen. Bigaruka's Plan facilitated by the Late spy Master. So ukitaka kuwaelimisha inabidi ufanye kazi kwelikweli manake ni akina hambiriki. Wako very Busy wameanzisha Front nyingine ya Key board baada ya sound defeat militarily. Utawakuta humu wanaanzisha topic chungumzima, kila baada ya masaa macheche utakuta Topic mpya ya kumponda Kagame, ya kuponda Watutsi iri mradi wako busy kweli. Mfano humu ndani ya JF Int. Chukua page ya kwanza hadi ya kumi hesabu Topic za namna hiyo, utashangaa nyingine ni kujirudiarudia tu iri mradi wenyewe wanajisikia kama vire wako vitani na wanamshambulia adui yao mkubwa Kagama au Mtusi. but the Guy as he said doesnt give a damn he is busy developing his people while here the likes of JMali, Justdoitnow,Ngongo,Rushasha etc are obsessed with their foolish hate. So an advise " Dont Argue with fools they will drag you down to their level and then beat you with experience"
kagame ni muuaji hastahili kuishi,time will tell go to hell kagame.Dua la kuku halimpati.....wacha kuwadhalaulisha machinga wenzako! ndugu yangu umepitwa na mengi kweli, watutsi mshwamaliza kwenye Genocide hivi kumebakia wanyarwanda tu au haitoshi na wao lazima wauwawe wote? acha kujipa laana we chinga baada ya kufikiria biashara mpya we unafikiria kuuwa tu! duh kazi ipo
Nadhani hujielewi, bunge ndo limeamua hivyo na ni bunge la rwanda kwa ajili ya warwanda sasa kagame anaingiaje? Na wewe ni nani kuponda maamuzi ya warwanda kwa ajili yao? Hivi katika nchi kunamaamuzi ambayo yanaminika kama ya bunge la nchi? Angeamua rais kidogo ingekuwepo hoja lakin sasa limeamua bunge hapo hoja ni ipi sasa? Nakutolea mfano, kumekuwa na maamuzi ambayo wakuu wa nchi wamepata kufanya mfano mzuri US&UK kupeleka majeshi iraq hilo suala lilipelekea tony blair kuhojiwa kwa masaa kadhaa alipotoka madarakani lakini hivi majuzi bunge la uingereza limeridhia majeshi yao yakapambane IS na hiyo imeepusha malalamiko na usitegemee cameron kulaumiwa sasa na hata baadae kwa jambo hilo, sasa iweje wewe umlaumu kagame kwa maamuzi ya bunge, unahoji maamuzi bunge? Basi huwezi kusadiki maamuzi ya chombo chochote.
Patrick, unadhani unaweza ku wa reason hao wajinga? they are blinded by hate and Genocide ideology, huwezi ukawareason wakakuelewa. They were defeated militarily and are scattered all over, most of them are in DRC Jungle, but recently their number in Tanzania has been increasing thx to Gen. Bigaruka's Plan facilitated by the Late spy Master. So ukitaka kuwaelimisha inabidi ufanye kazi kwelikweli manake ni akina hambiriki. Wako very Busy wameanzisha Front nyingine ya Key board baada ya sound defeat militarily. Utawakuta humu wanaanzisha topic chungumzima, kila baada ya masaa macheche utakuta Topic mpya ya kumponda Kagame, ya kuponda Watutsi iri mradi wako busy kweli. Mfano humu ndani ya JF Int. Chukua page ya kwanza hadi ya kumi hesabu Topic za namna hiyo, utashangaa nyingine ni kujirudiarudia tu iri mradi wenyewe wanajisikia kama vire wako vitani na wanamshambulia adui yao mkubwa Kagama au Mtusi. but the Guy as he said doesnt give a damn he is busy developing his people while here the likes of JMali, Justdoitnow,Ngongo,Rushasha etc are obsessed with their foolish hate. So an advise " Dont Argue with fools they will drag you down to their level and then beat you with experience"
Patrick, unadhani unaweza ku wa reason hao wajinga? they are blinded by hate and Genocide ideology, huwezi ukawareason wakakuelewa. They were defeated militarily and are scattered all over, most of them are in DRC Jungle, but recently their number in Tanzania has been increasing thx to Gen. Bigaruka's Plan facilitated by the Late spy Master. So ukitaka kuwaelimisha inabidi ufanye kazi kwelikweli manake ni akina hambiriki. Wako very Busy wameanzisha Front nyingine ya Key board baada ya sound defeat militarily. Utawakuta humu wanaanzisha topic chungumzima, kila baada ya masaa macheche utakuta Topic mpya ya kumponda Kagame, ya kuponda Watutsi iri mradi wako busy kweli. Mfano humu ndani ya JF Int. Chukua page ya kwanza hadi ya kumi hesabu Topic za namna hiyo, utashangaa nyingine ni kujirudiarudia tu iri mradi wenyewe wanajisikia kama vire wako vitani na wanamshambulia adui yao mkubwa Kagama au Mtusi. but the Guy as he said doesnt give a damn he is busy developing his people while here the likes of JMali, Justdoitnow,Ngongo,Rushasha etc are obsessed with their foolish hate. So an advise " Dont Argue with fools they will drag you down to their level and then beat you with experience"