ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
acha kumtetea huyo muuaji kagame wewe,watusi sio watu wazuri kabisa wana roho za kinyama hao.
Hawa mambwa wa BBC wajinga sana, nani asiejua BBC inatumika tu kama mouthpiece ya mabeberu wala damu wa Ulaya, hawa jamaa walikuepo kipindi Vita inaanza hawakusaidia hata kitu kimoja, Kagame ni mwanadamu lakini kaweka mambo sawa na sasa Rwanda ni moja ya nchi ya kupigiwa mfano, huyo wao hawamtaki na ni aibu kwa hawa Waafrika kujinga na hawa wapuuzi dhidi ya waafrika wenzao...haamjaona ulongo wa BBC hata majuzi Scotland walipotaka kujitenga???
Hii ndio akili ya chinga kutembea juani siku nzima kuuza juice na magazeti.
Hili bara limelaaniwa sijui! Yaani kuna watu wako upande wa wazungu dhidi ya waafrika, mfano wazungu dhidi ya kagame, wazungu dhidi ya mugabe.
Sasa kama warwanda wameamua hivyo sisi ambao sio warwanda inatuhusu nini?!
Hata kipindi hawa warwanda wanachinjana hao british walijiweka pembeni afu leo wanaanza propaganda za kipuuzi kabisa
Ulongo=uongo.....watusi mna shida mna mikono iliyo jaa damu za wahutu...go to hell kagame.
Subiri wa akina Mchambawima waje.
acha kumtetea huyo muuaji kagame wewe,watusi sio watu wazuri kabisa wana roho za kinyama hao.
Ulongo=uongo.....watusi mna shida mna mikono iliyo jaa damu za wahutu...go to hell kagame.
kagame kama ana akili, alitakiwa kuukubali ukweli alioambiwa na kikwete, akae aongee na wabaya wake wayamalize na aache ubabe wakati hana mbele wala nyuma. kuna siku atakuja kuaibika sana na dunia imeshajua ukweli wote. nimeisikiliza ile tape ya bbc Rwanda untold story, nimewasikia na wapambe wake aliokuwa nao, nimeshuhudia alivyoua wanawake na watoto KIBEHO kwa kulipiza kisasi, nimeshuhudia waliouawa congo, ameua watu wengi sana, damu nyingi amemwaga na kuna siku Mungu mwenyewe ataingilia kati. its too much.Ufaransa walikuja juu kuhusu Mauaji hayo Kagame akavunja nao ubalozi na pia akabadiri lugha ya Nchi hiyo kutoka French na kuwa English sasa Waingereza nao Washamuuzi nadhani Ataanza kutumia Kiswahili naye.....
Karibu Sana ila Ukweli siku zote huuma... Ni Kam yale ya Mwan.a. Hali.si kula Ban ya uhakika..
Mbona mbiombio umekimbilia kwa kagame?! Hii habari inahusu bunge la rwanda lililochaguliwa na warwanda wenyewe vs bbc, au wewe unajua rwanda ni kagame?! Mfano hapa tz bunge lilipoazimia mkataba dowans uvunjwe utasema ni kikwete!
Mkuu inaonesha ufaransa akaivamia rwanda utafurahi sana
Dua la kuku halimpati.....wacha kuwadhalaulisha machinga wenzako! ndugu yangu umepitwa na mengi kweli, watutsi mshwamaliza kwenye Genocide hivi kumebakia wanyarwanda tu au haitoshi na wao lazima wauwawe wote? acha kujipa laana we chinga baada ya kufikiria biashara mpya we unafikiria kuuwa tu! duh kazi ipo
BBC ni noma...si hii video kuna kipindi ilikuwa haipatikani tena You tube...wameirudisha tena...lazima Bunge la Rwanda liipige stop BBC kurusha matangazo Rwanda aisee na ikiwezekana You Tube watafuata...
hii issue ipo youtube? wapi, manake nilikuwa naitafuta kitambo sana bila kupata.
Tatizo hao wabunge wameguswa penyewe inaonekana sindano imeingia ndio maana wameamua kuropoka.hata mkiifungia bbc kurusha matangazo haisaidii wao wametangaza wanachokiamini kilitokea sasa na nyie kama mnaona ni uzushi toeni facts Ili kukanusha kilichosemwa sio kubaki unalalamika Tu. Hiyo laana mliyoitoa kwa bbc haitowapata kamwe.
Taarifa zilizopo ni kwamba baada ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ambayo yalichukua uhai wa raia wapatao 800,000 wengi wakiwa ni watutsi na wahutu wenye msimamo wa wastani.Kuna mauaji mengine ya kimbari yaliyotendwa na serekali ya Kagame amabayo yaliteketeza maisha ya wahutu wapatao 5,000,000 huu ndio ukweli mchungu ambao Kagame na genge lake la wahuni hawataki dunia ijue lakini tayari watu wenye kufikiri nje ya box wameshajua mikono ya Kagame imejaa damu ndio maana amekuwa mstari wa mbele kumtetea Kenyatta kutoshitakiwa ICC kwakuwa anajua ipo siku hata yeye atatakiwa kujibu mashtaka ya mauaji ya kimbari ya wahutu ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda (Congo).
Duh, inatisha hiyo. Ndo maana akina Commanche murutongore MUKAMASIMBA Koba mchambawima1 wanashambulia watu humu ovyo ovyo wakidhani ni FDRL, interahamwe.
Mi huwa najiuliza kwanini jamaa wanakuwa na hisia kali namna hiyo? kumbe wanajua kilichofanyika ni kibaya.
Cha ajabu sijasikia hata siku moja humu JF watu wanajitokeza na kusema Mi ni mhutu niko ukimbizini. Sijui wamepotelea wapi?