Final 2013: Audi Cup

Final 2013: Audi Cup

Kama ulikua kichwani mwangu, kwa huu mchezo wake, akikutana na watu wa counter attack atachezea kipigo tu kama Dortmund walivyomlambisha sakafu juzi.

Tena match yao na Chelsea si ipo karibuni sana.

kaunta inaonekana sio wazuri kabisa..
 
Kama ulikua kichwani mwangu, kwa huu mchezo wake, akikutana na watu wa counter attack atachezea kipigo tu kama Dortmund walivyomlambisha sakafu juzi.

Tena match yao na Chelsea si ipo karibuni sana.

Ni kabla ya msimu au ndani ya msimu?
 
penati bay wanapata baada ya kushika mpira..
 
Hapo ndipo Guardiola atatamani atoke kwenye hii Team. Kile kichwa mi nakikubali _ Mourinho
 
penati bay wanapata baada ya kushika mpira..

Anachoniboa huyu babu wenu ni kumweka Yaya dimba la chini, angebaki Barry halafu Yaya apige 8, hivi vijamaa vingekua vinajambajamba tu saa hizi!
 
Anachoniboa huyu babu wenu ni kumweka Yaya dimba la chini, angebaki Barry halafu Yaya apige 8, hivi vijamaa vingekua vinajambajamba tu saa hizi!

siunamuona fernandinho ndio anafanya iwe hivyo..
 
this linesman bwana what i think he wants this cup to go to bayern nini..
 
aisee tukisawazisha ntafurahi sana..
 
Back
Top Bottom