Nadhani wanaweza kubadilika, ila kama ndo hivi Bayern asahau kombe msimu ujao.
Hakuna kitu kigumu kwenye soccer kama transition ya mfumo wa uchezaji, na wachezaji wenyewe wengi tayari na mababu, asipokua makini itamcost!
Ngoja aje akutane na Mourinho!!!
negreeeeeeeeeeeeeedo what a goal..
Guardiola upooo?