Final 2013: Audi Cup

Final 2013: Audi Cup

Mpira kwa kiasi kikubwa unachezwa kwenye half ya Man Cty a.k.a nusu uwanja, lakini kama kawa pass zao hazina madhara.
Kama Man Cty watacheza counter attack, hii match yao!
 
duu hadi wanarudisha mpira nyuma hii ni hatari sana..

Ball possession %

bay 72 - 28 city

what a game..
 
Kipa No.2 wa Man Cty si mbaya atii, kashachomoa za moto kama mbili mpaka sasa, balaaa
 
Dk 30 bay 0 - 0 city

ila hali ya city imeizidi ya mandela kidogo sana..
 
Nilijua Mkuu Ndetichia angeweka starting line up ya team yake

Man City
1.Pantilimon
2. Zabaleta
3. Clichy
4. Boyata
5. Company
6. Barry
7. Milner
8. Fernandinho
9. Negredo
10. Jovetic
11. Nasri
 
hii gemu ndio kipimo cha kujua kikosi chako..
 
Nilijua Mkuu Ndetichia angeweka starting line up ya team yake

Man City
1.Pantilimon
2. Zabaleta
3. Clichy
4. Boyata
5. Company
6. Barry
7. Milner
8. Fernandinho
9. Negredo
10. Jovetic
11. Nasri

tatizo natumia simu mkuu..
 
Back
Top Bottom