anaonekana ni mchezeshaji na sio mkabaji zaidi ila kati wametupoteza sana..
naona city wameonesha uhai hapa
Half time: bay 0 - 0 city
Ni box to box huyo, ila naona anapata shida kidogo kuzoea makazi mapya.
But worry not coz hii ndio strongest squad ya Bayern, nyie kwenye bench mna Yaya, Navas, Dzeko, Rodwell
Akiingia Navas, Yaya na Dzeko, mtavigeuza hivi vijamaa vya bwana mdogo Pep
kipindi cha pili ndio kinaanza hapa navas na yaya wanaingia..
ndio imeanza..
Bayern wameanza lini Tiki taka jaman?