Fimbo Ya Mnyonge (Yomba Yomba)

Fimbo Ya Mnyonge (Yomba Yomba)

Megawatt B

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2011
Posts
259
Reaction score
69
Imenibidi nikumbuke filamu hii ya FIMBO YA MNYONGE maarufu YOMBA YOMBA hasa nikiangalia sinema zetu hizi sasa za wanaojiita 'mastaa' wa bongo movie. ni sinema ya siku nyigi lakini ilikuwa maarufu sana, je watengenezaji wake wamekufa? hawakuacha urithi? TBC vipi hamuwezi kutukumbusha na vijana wa leo waone mambo ya ukweli yalivyokuwa.
 
Megawatt B ndio hiyo wameigiza wakina Prof Amandina Lihamba na wakina Ahmed Kipozi?

Kuna filam niliwahi kuiona enzi zile za TVT na baadae TBC waliwahi kuionyesha walikuwepo hao watu, ilikuwa ya zamani sana kwa jinsi nilivyoiona mandhari yake.

Tungeendelea kutokea pale, tulikuwa tunaenda sehemu.
Ila upuuzi uliofuatia wa Bongo Movie wanajua wenyewe wenyewe wakina BISHOP
 
Last edited by a moderator:
Natamani kuiona tena, niliiona mwaka 1977. Nadhani kwa sasa mandhari itakuwa tofauti zaidi.
 
Shida haya mambo ya Commercial ndo yanapelekea Cinema zetu kukosa ubora.
 
Back
Top Bottom