filamu gani ya bongo umeikubali mwaka 2013?

filamu gani ya bongo umeikubali mwaka 2013?

...1. simba na yanga a.k.a mtani jembe
2. chadema na zito a.k.a wasaliti hood
3. nape,kinana na mizigo a.k.a baada ya kuchaguliwa tena kuwa mawaziri part two ikawa "tulikuwa tunawatania tu walikuwa sio mizigo teh teh"..
4.aaaagh bhana nyingine ntazilete baadae,ila hizi zilitisha kwenye "movie theatre" za bongo.....
 
Wabongo hawana jipya daily mapenz na uchawi wakjtahdi sana
 
Back
Top Bottom