MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Kwani Juliasi na Andrew wana tofauti gani?
Juliasi ni baba yake Adrew!!
Kwani Juliasi na Andrew wana tofauti gani?
Huyu ni Mtoto wa kwanza wa kuzaliwa wa Marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Huyu jamaa kiboko sana namkumbali sana huyu ndiyo mtoto wa Nyerere.
Nyie endeleeni kulalamika lakini yeye anafuata wosia wa baba yake alimuachia mkumbuke baba yake ndiyo muasisi wa CCM.
Hongera sana kwa majibu yako murua.
Huyu jamaa kiboko sana namkumbali sana huyu ndiyo mtoto wa Nyerere.
Nyie endeleeni kulalamika lakini yeye anafuata wosia wa baba yake alimuachia mkumbuke baba yake ndiyo muasisi wa CCM.
Hongera sana kwa majibu yako murua.
Majuha wa magamba ndivyo walivyo. Wamiliki wa JF wasipokuwa makini huu ukumbi utadorora kutokana na kuruhusu majuha wa magamba kuuteka nyara ukumbi wa JF na kuandika -----/utumbo wao.
Itikadi ya chadema iko wapi sasa? Mbona mnawapotosha watu?
Juliasi ni baba yake Adrew!!
Yericko ndiyo huwa anawadanganya kuwa yeye ni mtoto wa Julius Kambarage.
Msishangae hata Prof huzaa watoto wenye akili ndogo kama huyu kwa hiyo Nyerere is not exceptional azae mabright tu. Huyu anaonekana uwezo wake ni mdogo sana kweli tumbo bahari.
Juha lingine hili eti linamkubali mtu kwa kuwa tu baba yake ni fulani, bila hata kujali uwezo wake katika mambo mbali mbali. Eti anafuata wosia wa Baba yake utadhani ulikuwepo wakati anaachiwa wosia huo. Mnazidi kuharibu JF kwa kuandika ----- wenu.
Mkuu mbona uliwahi kutuletea list sahihi ya watoto wa Julius Kambarage na mama Maria, mimi katika mazungumzo yangu na Magige tukiwa shuleni tena tulikuwa tunalala bweni moja la Makongoro pale Minaki - sikuwahi kumsikia akizungumza kwamba ana ndugu yake wa ziada anaitwa "Yericko Nyerere"
Baada ya kuona post zake nikawa najiuliza maswali mengi, hivi huyu ni Nyerere yupi? Kazaliwa na the late Joseph Kazulila, the late Kiboko au Wanzagi? Yaani ukiangalia post zake ukalinganisha na za Andrew inaonekana wazi wazi watu hawa ni poles apart! Posts anazo zi-file Andrew na jinsi navyo jibu hoja hata zenye mitego ndani mtu unaona kabisa kwamba huyu ni mtoto wa Julius Kambarage Nyerere kwa asili mia MIA.
samahani lakini!naomba unisaidie elimu ya huyu jamaa yako,maana inaonekana unamjua sana,mpaka unajua kuwa baba yake alimuachia wosia duh!
yaani huyo ENDREW ni mtoto wa Baba wa TAIFA?,Eeeeeh! kweli baba wa TAIFA ni jembe,kumfungia huyu KILAZA Porini mpaka hajulikani....na ujinga wake.Inge kuwa DHAIFU angeshampa cheo CCM bila kujali kichwani kuna tundu hewa inaingia.