Fikra mpevuko.............

Fikra mpevuko.............

mansolata

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
502
Reaction score
319
Mw/kiti .Ungewaacha huru hawa wapinzani.....kwa ugumu huu wa maisha....Wallah....chama kingekufia....mshukuru aliekupa wazo....

Mtu akikosa soko la vitunguu anakutaja ww eti ndo chanzo...
Sikuizi hata kwa buku tunapata huduma tena kwa watoto wabichiiii.....

Endelea kukaza Mw/kiti...hadi wanyooke

Ubarikiwe.......
 
watu wakiachwa na wapenzi wao wanakuja huku kusumbua raia
 
Back
Top Bottom