Fikiria kabla ya kujibu!

Fikiria kabla ya kujibu!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Poa nisiwakwaze wapendwa,acha nilbadili kama ifuatavyo:X^Y=Y^X and (X is not equal to Y),find the value of X and Y!
 
Nimefikiria sana, nataka kutoa jibu ila sioni swali
 
Nimefikiria sana, nataka kutoa jibu ila sioni swali
Samahani,'fikiria kabla ya kujibu' ni ujumbe kwa akina mama kama mama aisha wanaojibujibu maswali ya watoto wao bila kutafakari,sikuwa na maana ya swali kwa msomaji!
 
Samahani,'fikiria kabla ya kujibu' ni ujumbe kwa akina mama kama mama aisha wanaojibujibu maswali ya watoto wao bila kutafakari,sikuwa na maana ya swali kwa msomaji!

Bila samahani bosi, hivi ulisema nilete mtura ngapi vile?
 
Huyo aisha kama ni mdogo kihvyo amejuaje mambo ya kupata mimba?? Haijakaa vizuri bana!
 
Daa!... Yaani nimeingizia hadi ma log... Any way
X = 2 and Y = 4
Bisha!...
 
Back
Top Bottom