Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Walitaka wao ndiyo wayafanye haya ambayo Serikali yetu inayafanya leo hii, hapo ndipo kila kitu kilipo, hakuna kingine, kwa kifupi ni wivu tu, ni kama vile demu ukiona anakupigia kelele saana bila hata ya sababu yaani kila ukijaribu kufikiria sababu za ugomvi hauzioni ujue hapo ni wivu tu, hakuna kingine anafikiri unachepuka, sasa kumaliza ugomvi muhakikishie tu kwamba yuko peke yake, ...