FIFA Confederations Cup Brazil 2013

FIFA Confederations Cup Brazil 2013

Mimi sio mshabiki wa espana, lakini leo natamani washinde ili wakamfunge brasil jumapili na kuuficha mpira wacheza samba wautafute wasiuone.............

Matokeo ya euro2012 final naona hayataakisi matokeo ya mechi ya leo, kwani waandaji walikosea kuwafanya italia kusafiri umbali mrefu na kutopumzika kwa kutosha hivyo kusababisha wachezaji wa italy kuumia mapema, chielini alishindwa kumaliza mpira, italy walimaliza wachache.
 
Mimi sio mshabiki wa espana, lakini leo natamani washinde ili wakamfunge brasil jumapili na kuuficha mpira wacheza samba wautafute wasiuone.............

Matokeo ya euro2012 final naona hayataakisi matokeo ya mechi ya leo, kwani waandaji walikosea kuwafanya italia kusafiri umbali mrefu na kutopumzika kwa kutosha hivyo kusababisha wachezaji wa italy kuumia mapema, chielini alishindwa kumaliza mpira, italy walimaliza wachache.

mwanzo wa comment umenifurahisha sana.
 
naona hii spain inayocheza leo siyo spain nayoifaham!
 
Asee upo Mzee? Hayo maneno tu, dk 90 zitaongea Mkuu,
Spain kitu gani bana!

Forza Azzurri!

Nipo ndugu yangu majanga yalinikuta nikapotea najua ulinimiss nami nilikuwa kama mgonjwa kwa kutoonekana jf, nimemiss sana mineno ya kukera ya Gang Chomba. hii gemu nilitegemea itakuwa mteremko kwa Spain lakini naona upepo haueleweki ngoja tuone.
 
naona hii spain inayocheza leo siyo spain nayoifaham!

sio hivyo kaka,wamevurugwa staili yao na waitaliano.spain wanataka space kuchezea mpira na spidi,waitaliano wamestuka wanapoza mpira,wamejaa katikati,wanarudi deep na wanashambulia kwa mipira mirefu wakitumia wings.wasiwasi wangu kwa Barzagli.huwa hawezi kukaba maforward wepesi kama Torres na Iniesta.ila linesman wa leo uozo mtupu!
 
Nipo ndugu yangu majanga yalinikuta nikapotea najua ulinimiss nami nilikuwa kama mgonjwa kwa kutoonekana jf, nimemiss sana mineno ya kukera ya Gang Chomba. hii gemu nilitegemea itakuwa mteremko kwa Spain lakini naona upepo haueleweki ngoja tuone.

Pole na majanga ndugu yangu, tupo mabuluda hapa kama kawa na tukiwa makini kidogo tu 2nd half tutawabashia waspain na wacatalunya wote
 
sio hivyo kaka,wamevurugwa staili yao na waitaliano.spain wanataka space kuchezea mpira na spidi,waitaliano wamestuka wanapoza mpira,wamejaa katikati,wanarudi deep na wanashambulia kwa mipira mirefu wakitumia wings.wasiwasi wangu kwa Barzagli.huwa hawezi kukaba maforward wepesi kama Torres na Iniesta.ila linesman wa leo uozo mtupu!

Mzee hii match leo yetu, just seat back and relax!
 
Pole na majanga ndugu yangu, tupo mabuluda hapa kama kawa na tukiwa makini kidogo tu 2nd half tutawabashia waspain na wacatalunya wote

half time spain possession 62% shorts on target 0,Italia 38% shorts on target 4!
 
Pole na majanga ndugu yangu, tupo mabuluda hapa kama kawa na tukiwa makini kidogo tu 2nd half tutawabashia waspain na wacatalunya wote

half time spain possession 62% shorts on target 0,Italia 38% shorts on target 4!I miss Ballotelli and El shaarawy!
 
Dah!nashukuru Prandelli kanisikia.Barzagli out,Montolivo in!nani anarudi central defence?
 
Pole na majanga ndugu yangu, tupo mabuluda hapa kama kawa na tukiwa makini kidogo tu 2nd half tutawabashia waspain na wacatalunya wote

ha ha ha haaa, nakumbuka ulinambia moyo wako upo Italy nami wako upo Spain leo tuombeane njaa tu, lakini kwa upepo unavyokwenda ntakulaza mapema tu si unamuona Torres anavyoonyesha uwezo? huyo ni mzee wa mechi ngumu.
 
Kwa nini huyu Prandeli hamchezeshi El Shaaraw?
 
ha ha ha haaa, nakumbuka ulinambia moyo wako upo Italy nami wako upo Spain leo tuombeane njaa tu, lakini kwa upepo unavyokwenda ntakulaza mapema tu si unamuona Torres anavyoonyesha uwezo? huyo ni mzee wa mechi ngumu.

Time will tell!
 
Back
Top Bottom