FIFA Club World Cup 2025: Michuano yenye mfumo mpya

FIFA Club World Cup 2025: Michuano yenye mfumo mpya

Joined
Nov 24, 2024
Posts
23
Reaction score
33
images (49).jpeg


Tarehe 15, Juni 2025 inatarajiwa kuanza michuano hii itakayo fanyika nchini Marekani.

Awamu hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa michuano hii kutumia mfumo wa mpya wa klabu 32 kama lilivyo kombe la Dunia kwa upande wa timu za taifa.

TIMU ZILIZOFUZU MPAKA HIVI SASA. Chelsea, Real Madrid, Manchester city (bara la ulaya).

Palmeras, Fluminense, Flamengo(Amerika Kusini).

Monterrey, Seattle sounders Pachuca(America Kaskazini).

Al-hilal, Urawa red diamonds, Al-Ain(Asia).

Al-ahaly, Waydad Casablanca.(Afrika).

MATUKIO MENGINE YATAKAYO AMBATANA NA MICHUANO HII

Sheria mpya ya kudhibiti upotevu wa muda kwa makipa.

1. Endapo kipa akishika mpira zaidi ya sekunde 8 timu pinzani itapewa Kona.

2. Thomas muller anatarajiwa kustaafu baada ya michuano hii.
 
Ngoja tuone ila ni package nzuri kwa sisi wapenda soccer na mambo kama haya yaongezwe tupende mpira maana wanawake Sasa hawaeleweki
Wamekufanya nini tena wanawake broo.
Mbona wanawake wanaeleweka tuu....wee kuwa na hela utawafaidi sana hawa warembo.
Alafu ngoja nikuoe siri, ukiwa na hela wanalenda kushare kibamia.

Anyways back to football, timu za africa kwa kweli wajipamge maana huko haya mambo yao ya u2.5 hamnaga. Ulaya huko ni mambo ya 2.66 goals per game. So wafunge sana kama wanataka kugika mbali
 
Wamekufanya nini tena wanawake broo.
Mbona wanawake wanaeleweka tuu....wee kuwa na hela utawafaidi sana hawa warembo.
Alafu ngoja nikuoe siri, ukiwa na hela wanalenda kushare kibamia.

Anyways back to football, timu za africa kwa kweli wajipamge maana huko haya mambo yao ya u2.5 hamnaga. Ulaya huko ni mambo ya 2.66 goals per game. So wafunge sana kama wanataka kugika mbali
Team za afrika hakuna kitu zitafanya zinaenda kutembea na kuleta amsha amsha kama kwenye world cup
Kuhusu wanawake acha niweweseke tu braza shida sio hela maana kama ni hela nimejitahidi japo sio nyingi Hawa watu Kuna kitu wanapenda na hadi Sasa hata Elon musk hakijui
Wala bezosi
Yani ni vi ibilisi basi tu anyaway barca atachukua Hilo kombe for the 1st time
 
Team za afrika hakuna kitu zitafanya zinaenda kutembea na kuleta amsha amsha kama kwenye world cup
Kuhusu wanawake acha niweweseke tu braza shida sio hela maana kama ni hela nimejitahidi japo sio nyingi Hawa watu Kuna kitu wanapenda na hadi Sasa hata Elon musk hakijui
Wala bezosi
Yani ni vi ibilisi basi tu anyaway barca atachukua Hilo kombe for the 1st time
Hawa shida yao wabaki na hela sie watuondoe duniani bahati mbaya shetani nae kawastukia hela zote kawapa wanaume 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ebwana barca hatari hilo mbungi wanalopiga sii la dunia hii.
Waafrica kama kawa kutaliii tuu. Tatizo letu maombi mengi wakati uwekezaji sifuri
 
Hawa shida yao wabaki na hela sie watuondoe duniani bahati mbaya shetani nae kawastukia hela zote kawapa wanaume 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ebwana barca hatari hilo mbungi wanalopiga sii la dunia hii.
Waafrica kama kawa kutaliii tuu. Tatizo letu maombi mengi wakati uwekezaji sifuri
Maombi na hamasa
Hapo kwenye hela ndio nimefanikiwa kuruka tungefunga ndoa TU nilikuwa namuachia urithi wote
 
Maombi na hamasa
Hapo kwenye hela ndio nimefanikiwa kuruka tungefunga ndoa TU nilikuwa namuachia urithi wote
Tucheki ball mwnawane hawa kenge achana nao hawana dili wa nini.
Ngoja tuone barca atafanyaje huko usa
 
View attachment 3298092

Tarehe 15, Juni 2025 inatarajiwa kuanza michuano hii itakayo fanyika nchini Marekani.

Awamu hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa michuano hii kutumia mfumo wa mpya wa klabu 32 kama lilivyo kombe la Dunia kwa upande wa timu za taifa.

TIMU ZILIZOFUZU MPAKA HIVI SASA. Chelsea, Real Madrid, Manchester city (bara la ulaya).

Palmeras, Fluminense, Flamengo(Amerika Kusini).

Monterrey, Seattle sounders Pachuca(America Kaskazini).

Al-hilal, Urawa red diamonds, Al-Ain(Asia).

Al-ahaly, Waydad Casablanca.(Afrika).

MATUKIO MENGINE YATAKAYO AMBATANA NA MICHUANO HII

Sheria mpya ya kudhibiti upotevu wa muda kwa makipa.

1. Endapo kipa akishika mpira zaidi ya sekunde 8 timu pinzani itapewa Kona.

2. Thomas muller anatarajiwa kustaafu baada ya michuano hii.
Kwa africa izo timu zingine 2 zitapatikana vipi ?
 
Kwa africa izo timu zingine 2 zitapatikana vipi ?
Timu za Afrika zinapata nafasi ya kushiriki kupitia michuano ya klabu bingwa.Kwa kipindi cha kufuzu 2021-2024.Timu zilizoshinda zilifuzu Moja kwa Moja hii inajumuisha al ahaly ya misri mabingwa mara tatu mfululizo (2021,22,23 na 24). Kwa mantiki hiyo nafasi mbili za ziada zilijazwa kwa kutumia mfumo wa alama ulio zingatia matokeo ya timu katika michuano ya CAF kupitia mfumo huu Mamelodi sundowns na Esperance de Tunis pia zili fuzu.
 
Team za afrika hakuna kitu zitafanya zinaenda kutembea na kuleta amsha amsha kama kwenye world cup
Kuhusu wanawake acha niweweseke tu braza shida sio hela maana kama ni hela nimejitahidi japo sio nyingi Hawa watu Kuna kitu wanapenda na hadi Sasa hata Elon musk hakijui
Wala bezosi
Yani ni vi ibilisi basi tu anyaway barca atachukua Hilo kombe for the 1st time
Hawa shida yao wabaki na hela sie watuondoe duniani bahati mbaya shetani nae kawastukia hela zote kawapa wanaume 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ebwana barca hatari hilo mbungi wanalopiga sii la dunia hii.
Waafrica kama kawa kutaliii tuu. Tatizo letu maombi mengi wakati uwekezaji sifuri
Masahihisho.

Barcelona hatoshiriki hii michuano ya fifa club world cup mwaka huu kwa sababu hakuwa na sifa ya kushiriki, badala yake timu shiriki kutoka Spain ni real madrid na Atletico madrid.

Hii ni michuano ambayo inafanyika kama mbadala wa Fifa confideration Cup(kombe la mabara) ambayo ilikuwa inafanyika mwaka mmoja kabla ya Fifa world cup kwenye nchi ambayo ni mwenyeji wa world cup yenyewe.

Kwa vile format hii ya sasa inahusisha timu nyingi 32, ambapo kuna timu bora kutoka kwenye mabara tofautiz basi inatazamiwa kuwa na msisimko wa hali ya juu ukilinganisha na ile ya format ya zamani ambayo ilikuwa inahusisha timu nane tu. Japo kuna taarifa inasema kuwa mpaka sasa hivi tickets zimedolola hadi Fifa wameamua kushusha bei za ticket kwa zaidi ya 30%.

Kwa timu zetu za kiafrika ambayo ninatarajio kuiona ikifika angalau hatua ya mtoano ni National Al Ahly tu na hii ni kutokana na uzoefu wao, maana wameshacheza hii michuano mara nyingi sana japo bila mafanikio yoyote ya maana.

....……………………

Kuhusu wanawake kuwasumbueni vichwa, mimi nasema acha mkome, maana watu kama Natafuta Ajira wakisambaza redpill awareness humu ndani jinsi ya kuishi na hawa viumbe wanaume wengi wanambeza tena wanaungana na mishangazi ya humu kumkandia na kumwambia sijui mara atafute hela, utafikiri hela ndio mwarobaini wa kila kitu.
 
Masahihisho.

Barcelona hatoshiriki hii michuano ya fifa club world cup mwaka huu kwa sababu hakuwa na sifa ya kushiriki, badala yake timu shiriki kutoka Spain ni real madrid na Atletico madrid.

Hii ni michuano ambayo inafanyika kama mbadala wa Fifa confideration Cup(kombe la mabara) ambayo ilikuwa inafanyika mwaka mmoja kabla ya Fifa world cup kwenye nchi ambayo ni mwenyeji wa world cup yenyewe.

Kwa vile format hii ya sasa inahusisha timu nyingi 32, ambapo kuna timu bora kutoka kwenye mabara tofautiz basi inatazamiwa kuwa na msisimko wa hali ya juu ukilinganisha na ile ya format ya zamani ambayo ilikuwa inahusisha timu nane tu. Japo kuna taarifa inasema kuwa mpaka sasa hivi tickets zimedolola hadi Fifa wameamua kushusha bei za ticket kwa zaidi ya 30%.

Kwa timu zetu za kiafrika ambayo ninatarajio kuiona ikifika angalau hatua ya mtoano ni National Al Ahly tu na hii ni kutokana na uzoefu wao, maana wameshacheza hii michuano mara nyingi sana japo bila mafanikio yoyote ya maana.

....……………………

Kuhusu wanawake kuwasumbueni vichwa, mimi nasema acha mkome, maana watu kama Natafuta Ajira wakisambaza redpill awareness humu ndani jinsi ya kuishi na hawa viumbe wanaume wengi wanambeza tena wanaungana na mishangazi ya humu kumkandia na kumwambia sijui mara atafute hela, utafikiri hela ndio mwarobaini wa kila kitu.
Vipi simba hatuendi. Si tumepanda hadi nafasi ya 4 caf ranking
 
Masahihisho.

Barcelona hatoshiriki hii michuano ya fifa club world cup mwaka huu kwa sababu hakuwa na sifa ya kushiriki, badala yake timu shiriki kutoka Spain ni real madrid na Atletico madrid.

Hii ni michuano ambayo inafanyika kama mbadala wa Fifa confideration Cup(kombe la mabara) ambayo ilikuwa inafanyika mwaka mmoja kabla ya Fifa world cup kwenye nchi ambayo ni mwenyeji wa world cup yenyewe.

Kwa vile format hii ya sasa inahusisha timu nyingi 32, ambapo kuna timu bora kutoka kwenye mabara tofautiz basi inatazamiwa kuwa na msisimko wa hali ya juu ukilinganisha na ile ya format ya zamani ambayo ilikuwa inahusisha timu nane tu. Japo kuna taarifa inasema kuwa mpaka sasa hivi tickets zimedolola hadi Fifa wameamua kushusha bei za ticket kwa zaidi ya 30%.

Kwa timu zetu za kiafrika ambayo ninatarajio kuiona ikifika angalau hatua ya mtoano ni National Al Ahly tu na hii ni kutokana na uzoefu wao, maana wameshacheza hii michuano mara nyingi sana japo bila mafanikio yoyote ya maana.

....……………………

Kuhusu wanawake kuwasumbueni vichwa, mimi nasema acha mkome, maana watu kama Natafuta Ajira wakisambaza redpill awareness humu ndani jinsi ya kuishi na hawa viumbe wanaume wengi wanambeza tena wanaungana na mishangazi ya humu kumkandia na kumwambia sijui mara atafute hela, utafikiri hela ndio mwarobaini wa kila kitu.
Hela ndio yenyewe wewe wen u have money all other problems are self created bro
 
Vipi simba hatuendi. Si tumepanda hadi nafasi ya 4 caf ranking
Simba na Yanga hazina sifa ya kwenda, maana walioenda ni wale waliokuwa mabingwa wa CCL au kushika nafasi nne za juu kwenye caf rankings miaka minne iliyopita.

Cha msingi hapa sasa hivi hizi timu zetu za Kariakoo waweke mikakati kabambe kuhakikisha tunapeleka timu walau moja mwaka 2029 kwenye michuano itakayofanyikia Morocco na Hispania.

Na njia rahisi ya kushiriki michuano hii ni kuchukua ubingwa wa CAF CHAMPIONS LEAGUE au hata usipochukua basi hakisha unafika nusu fainali mara kwa mara kama Mamelod hili kuwa miongoni mwa timu nne bora za juu kwenye caf rankings ambazo ndio zitakuwa mwakilishi kutoka CAF.

Hiyo michuano inapesa nyingi sana imagine kushiriki tu unapewa $50m ambayo ni sawa na Tsh.130b, Yanga au Simba wakiipata hiyo pesa si wana clear madeni yao yote kabisa wanajenga na uwanja na vyoo vya wachezaji😂
 
Simba na Yanga hazina sifa ya kwenda, maana walioenda ni wale waliokuwa mabingwa wa CCL au kushika nafasi nne za juu kwenye caf rankings miaka minne iliyopita.

Cha msingi hapa sasa hivi hizi timu zetu za Kariakoo waweke mikakati kabambe kuhakikisha tunapeleka timu walau moja mwaka 2029 kwenye michuano itakayofanyikia Morocco na Hispania.

Na njia rahisi ya kushiriki michuano hii ni kuchukua ubingwa wa CAF CHAMPIONS LEAGUE au hata usipochukua basi hakisha unafika nusu fainali mara kwa mara kama Mamelod hili kuwa miongoni mwa timu nne bora za juu kwenye caf rankings ambazo ndio zitakuwa mwakilishi kutoka CAF.

Hiyo michuano inapesa nyingi sana imagine kushiriki tu unapewa $50m ambayo ni sawa na Tsh.130b, Yanga au Simba wakiipata hiyo pesa si wana clear madeni yao yote kabisa wanajenga na uwanja na vyoo vya wachezaji😂
Mfano simba akishika top 4 ya fifa rankings na bingwa wa caf champions league akawa al ahly/Mamelodi msimu huu , je simba hawezi kupata nafasi kuwakilisha kwenye club world cup?

N
Africa itawakilishwa na Mamelodi, Al ahly na esperance je hiyo nafasi ya nne itachukuliwa na nani?
 
Masahihisho.

Barcelona hatoshiriki hii michuano ya fifa club world cup mwaka huu kwa sababu hakuwa na sifa ya kushiriki, badala yake timu shiriki kutoka Spain ni real madrid na Atletico madrid.

Hii ni michuano ambayo inafanyika kama mbadala wa Fifa confideration Cup(kombe la mabara) ambayo ilikuwa inafanyika mwaka mmoja kabla ya Fifa world cup kwenye nchi ambayo ni mwenyeji wa world cup yenyewe.

Kwa vile format hii ya sasa inahusisha timu nyingi 32, ambapo kuna timu bora kutoka kwenye mabara tofautiz basi inatazamiwa kuwa na msisimko wa hali ya juu ukilinganisha na ile ya format ya zamani ambayo ilikuwa inahusisha timu nane tu. Japo kuna taarifa inasema kuwa mpaka sasa hivi tickets zimedolola hadi Fifa wameamua kushusha bei za ticket kwa zaidi ya 30%.

Kwa timu zetu za kiafrika ambayo ninatarajio kuiona ikifika angalau hatua ya mtoano ni National Al Ahly tu na hii ni kutokana na uzoefu wao, maana wameshacheza hii michuano mara nyingi sana japo bila mafanikio yoyote ya maana.

....……………………

Kuhusu wanawake kuwasumbueni vichwa, mimi nasema acha mkome, maana watu kama Natafuta Ajira wakisambaza redpill awareness humu ndani jinsi ya kuishi na hawa viumbe wanaume wengi wanambeza tena wanaungana na mishangazi ya humu kumkandia na kumwambia sijui mara atafute hela, utafikiri hela ndio mwarobaini wa kila kitu.
Safi maelezo mazuri kabisa huenda kwa sababu inaanza ndio maana bei zimesuasua ila namna itaendelea itakuwa mizuri na watu kuizingatia
Kuhusu wanawake sijawahi kutana na Uzi wa redpill ila kwa Sasa niko na stoic mafundisho Yao Yako vema sana msingi wao mkuu ni "be calm and steady ,focus on your self"
 
Mfano simba akishika top 4 ya fifa rankings na bingwa wa caf champions league akawa al ahly/Mamelodi msimu huu , je simba hawezi kupata nafasi kuwakilisha kwenye club world cup?

N
Africa itawakilishwa na Mamelodi, Al ahly na esperance je hiyo nafasi ya nne itachukuliwa na nani?
Kwa sasa hivi utaratibu ulivyo creteria inayoangaliwa zaidi ni timu kuwa bingwa wa caf champions league, ikitokea ndani ya hii miaka minne yaani kwanzia mwaka huu 2025 hadi mwaka 2028 tumepata mabingwa wanne tofauti wa CCL basi hao ndio wataenda kutuwakilisha, na katika mkutadha huu caf ranking haitotumika.

Ila ikitokea ndani ya hii miaka minne tumepata mabingwa wawili au watatu yaani kuna timu moja ikajirudia rudia kuchukuq ubingwa huu wa CCL kama anavyofanyaga Al ahly, kwanza watachukua yule bingwa/mabingwa na kisha nafasi inayobaki/ziliyobaki ndio wanaangalia timu ambazo zimefanya vizuri kwa hiyo miaka minne kwenye michuano ya Caf ila hazijachukua ubingwa ambazo ndio hizo zilizoko kwenye nafasi nne za juu... yaan hapa sasa caf rankings ndio itafanya kazi.
 
K
Kwa sasa hivi utaratibu ulivyo creteria inayoangaliwa zaidi ni timu kuwa bingwa wa caf champions league, ikitokea ndani ya hii miaka minne yaani kwanzia mwaka huu 2025 hadi mwaka 2028 tumepata mabingwa wanne tofauti wa CCL basi hao ndio wataenda kutuwakilisha, na katika mkutadha huu caf ranking haitotumika.

Ila ikitokea ndani ya hii miaka minne tumepata mabingwa wawili au watatu yaani kuna timu moja ikajirudia rudia kuchukuq ubingwa huu wa CCL kama anavyofanyaga Al ahly, kwanza watachukua yule bingwa/mabingwa na kisha nafasi inayobaki/ziliyobaki ndio wanaangalia timu ambazo zimefanya vizuri kwa hiyo miaka minne kwenye michuano ya Caf ila hazijachukua ubingwa ambazo ndio hizo zilizoko kwenye nafasi nne za juu... yaan hapa sasa caf rankings ndio itafanya kazi.
Kwa hiyo mwaka huu simba akishika top 4 caf rankings atashiriki au hatashiriki club world cup mwaka huu?
 
K

Kwa hiyo mwaka huu simba akishika top 4 caf rankings atashiriki au hatashiriki club world cup mwaka huu?
Mkuu habari za simba kushiriki mwaka huu futa, timu zinazoshiriki mwaka huu fifa club world cup zimeshajulikana na mpaka ratiba imeshapangwa kabisa.... mechi ya ufunguzi itakayopigwa tarehe 15 june ni Al ahly vs Inter miami ya Messi.

Naona haujanjelewa kabisa comments zangu za awali, nimesema huko juu timu zetu za bongo kama zinataka kushuriki hii michuano basi zijipange zisikose michaono ijayo itakayofanyika 2029 kuna timu kama Pyramid moja ya mipango waliyonayo ni kuhakikisha wanashiriki hiyo michuano ya 2029.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom