<br /><br /><br />
<br /><br />
acha ulongo we siuna complementary ya serengeti fiesta 2011...
<br /><br /><br />
<br /><br />
waliniletea jana lakini nimeitafuna kaka.
wanamzi, Shule za kata at work! AhahahahaTz kwa sasa hatuna( wanamzi) ila tuna wanateknoharoo!
<br />Mtaniwia radhi mi si shabiki wa mziki wa vijana hasa hawa wabana pua na kujikoboa sura!<br />
<br />
Naona show zinaendelea japo wasanii siwajui hata mmoja kabisa!
<br /><br /><br />
<br /><br />
haya mkuu dio..
<br />Mtaniwia radhi mi si shabiki wa mziki wa vijana hasa hawa wabana pua na kujikoboa sura!<br />
<br />
Naona show zinaendelea japo wasanii siwajui hata mmoja kabisa!
kuna mwasisi zaidi ya sugu?? weusi wagumu asilia mnawakumbuka?? dont joke .................mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..nimependa idea ya wasanii wa sasa kuwapa tuzo wasanii ambao n waasisi wa bongo flava..