Kabla ya kukata tickets mnaonekana wa muhimu baada ya hapo mnakuwa maboya. Yaani huko kwenye entrance points tunafanywa kama wanyama, hakuna ubinadamu, ni kusukumwa tu na wapuuzi flani ambao mnawaita wakaguzi wa tickets wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Watu wananusurika kuuliwa kwa kupigwa na kusukumwa kama mang'ombe.
Watu wananusurika kuuliwa kwa kupigwa na kusukumwa kama mang'ombe.
